Boveta
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,174
- 3,804
Ahahaha soda na juice tuu? sema kweli bana.Jins ilivyonitenda basi hata hamu nayo ipo tena!! Me soda tu na juice saiv😝
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha soda na juice tuu? sema kweli bana.Jins ilivyonitenda basi hata hamu nayo ipo tena!! Me soda tu na juice saiv😝
I'm watching you...totoz!!Hahaaa stay tuned
Aah nlisahau natumia pia chai + kahawa😀Ahahaha soda na juice tuu? sema kweli bana.
Ahahahah yaani wewe ni changamoto!!Aah nlisahau natumia pia chai + kahawa😀
😆😆😆
😁😁😁Kwani nimekuuliza Kwamb umepona? Au kujitia moyo kujiona mzima
🤣🤣😁 Ulikuwa unahisi kama unataka kufa kufa vileNakumbuka kipindi niko primary std 5 au 6, kuna ndugu yetu alikuja home.... alikua mtu wa vyombo sana so ikanunuliwa konyagi kwa ajili yake maana hakuna mwingine alikua anatumia hyo kitu pale nyumbani.
Hyo siku baada ya kunywa kiasi nikatumwa kwenda kuitunza, sasa nmefika nlipotakiwa kuiweka nikaiangalia then nikawa natamani kujua ina ladha gani, akili ya utoto ikaniambia onja😂 basi nikamimina kwenye kifuniko chake then nikabugia daah sitasahau hyo siku niliunguaaaa kuanzia kwenye koo had ilipofikia tumboni nikawa naiskilizia.
Nlitamani kulia kuomba msaada ila nlijua kitu ambacho kingenipata so nikajikaza nkaenda kujipooza na maji kuzima moto tumboni.
Since then nkawa muoga kudokoa vitu nisivyovijua.
Hahahaa nilitoa macho balaa🤣🤣😁 Ulikuwa unahisi kama unataka kufa kufa vile
Toka wakati ule mpaka sasa unatumia konyagi au ndo siku hizi hutumii vitu uchunguHahahaa nilitoa macho balaa
Hapana sijawahi tumia, napenda vitu vitamu.Toka wakati ule mpaka sasa unatumia konyagi au ndo siku hizi hutumii vitu uchungu
Kama vipi vitu vitamu😁Hapana sijawahi tumia, napenda vitu vitamu.
Juice, mirinda nyeusi, smirnoff black ice na sweet winesKama vipi vitu vitamu😁
Haa haa haa upo vizuri! Sana nakupa 💪👍Juice, mirinda nyeusi, smirnoff black ice na sweet wines
Hahahaaa asante mkuuHaa haa haa upo vizuri! Sana nakupa 💪👍
Okey sisi tupo🙏Hahahaaa asante mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]lamba lamba humaliza buyu la asali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dadeq mara paaap unashtuka umebakisha shingo tuKuna siku nilikua kwa mamdogo kama darasa la5 au 6 akachinja Bata kuna wageni walikua wanakuja na nilikuwa sijawahi kula hivyo niliipania balaa,basi akanyonyoa alivomaliza akasema ibabue ye akaenda kununua chumvi,hapo ndo balaa lilipoanza,..ikawa badala ya kubabua naivisha upande afu nakata nakula kuja kushtuka naona kifuani na mapajan mifupa inaonekana,kuua Soo ikabidi nimkate Kate nitenge vipande hata havikueleweka,aliporudi akachungulia sufuria na kuguna mmh! nlimuona kama mkubwa kumbe mdogo ,nilipumzika kwa muda harakati zangu za udokozi