Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,426
- 2,845
Kwa upeo wako na heshima yako hukutakiwa kuchangia uzi huu mzee wangu weee njoo huku kwenye ule uzi kula kimasiharaPale Jangwani ni sehemu ya mkondo wa maji, hakuna Shirika au Kampuni yoyote ya Bima itaenda kukubali kudhamini mradi wa uwanja wa mpira eneo lile na bila Bima hakuna Benki itaenda kutoa pesa zake kuufadhili[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app