Story za ujenzi wa uwanja wa Yanga pale Jangwani ni danganya toto

Kwa upeo wako na heshima yako hukutakiwa kuchangia uzi huu mzee wangu weee njoo huku kwenye ule uzi kula kimasihara
 
pale hapashindikani wanja kujengwa tena utakua moja ya kivutio
 
Zile hela za ujenzi wa uwanja wa simba ziko wapi tena nirudishieni huku 2 yangu nikiwa hangia Bata wahed
 
Siku hzi nkmekuwa mvivu wa kusoma story hbr ndefu

Nina amini umeendika ujinga mtupu
 
Je hilo ndio nililolisema mimi?

Ni wapi klabu yako waliwahi kusema hilo baada yakupeleka wale wakandarasi.
 
sikia tukwambie ndugu usoyejua kitu kiwanja wa kigamboni,tunajenga hostel na kambi ya mazoezi na mchakato wake unasubiri tukamilishe usajili wa wana hisa
Kuandika tu haujui.

Je ukweli ndio utaujua ndugu yangu.
 
Ni kawaida kwa watu wenye kufungua " whatsupp" channel ya klabu na kuona ndio mafanikio yao kuwa na wivu wa kike.
 
🤣🤣Sio kweli mkuu kwa watu walioenda shule watakuelewa , sababu usipoweka hoja wanaona huyu hana hoja
Hoja nzito zipo za kutosha tu, umeziona ndiyo maana ukaona ucomment. Mengine ya kunogesha mada wala yasikusumbue
 
Hoja nzito zipo za kutosha tu, umeziona ndiyo maana ukaona ucomment. Mengine ya kunogesha mada wala yasikusumbue
Sio kila mtu akikoment kuna hoja katika post saa ingine watoa comments ndio wanaleta hoja
 
Sio kila mtu akikoment kuna hoja katika post saa ingine watoa comments ndio wanaleta hoja
Ni kweli ila si kwa kesi hii. Kama umesoma kwa makini hoja ya mwanzo na michango ya wengine utagundua hoja ya msingi niliyoleta wengi wameikwepa ukiacha Mshana Jr pekee ingawa alichofanya ni kunukuhu tu hiko kipande nilichoandika.

Narudia tena, sijakurupuka kuleta hii mada.

Nawajua nje ndani mashabiki wa Deportivo de Utopolo.
 
Watanzania kwa kujua kila kitu kawaida yao , kama unawajua nje ndani means unawajua watanzania wengi, hongera


Ila mpunguze makasiriko
 
Simba wanatumia uwanja wao wa Bunju kwa mazoezi,ni hatua nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutajenga jangwani pamoja na bunju🤣.halafu urudi na unaa wako hapa😁
 
Nawewe unasikiliza kelele za wivu za huyu 'thimba sposi'?
Maji siyo kikwazo mwambie aende Venice Italy au Uholanzi akajifunze.
 
Povu halijibiwi na povu. Jua kidogo asubuhi, povu lako litayeyuka. Povu lako la sabuni mbunju
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…