Strategist/s wa Lissu a/wa/mempotosha kweri kweri kwa kumfanya ang'ang'anie Kanda ya Ziwa. Matokeo yake, atakosa kura za Kanda nyingine maana watahisi hawana umuhimu kwake na atazikosa za Kanda ya Ziwa pia maana sisi tuliishamchagua JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI (JIWE)!!!!!!
Kuna Wasukuma siyo wakabila, na ukitaka nitakutajia wachache, lakini wewe ni Mkabila, Magufuli anayejifanya Msukuma naye ni Mkabila hasa.Huu unaoshauri hapa ni ukabila mbaya, kabisa, Wasukuma sio wakabila ndio maana Usukumani tumechagua wabunge kibao ambao sio Wasukuma!.
Magufuli atachaguliwa na Watanzania kwasababu amekubalika kwa uchapakazi wake na sio kwasababu ni Msukuma!.
P
Tatizo hawana mikakati ya kisayansi na hapo ndio wanaposhindiwa.Kanda zote amefika, tena mara mbili. Kimbinu, ukiacha mapungufu machache, CHADEMA wanafanya vizuri sana ukizingatia vizingiti walivyowekewa na jicho kali linalowaangalia.
Mm nimekuelewa sana mkuu. Asante kwa ushauri.Ushauri wangu kwa timu ya kampeni ya Lissu, kama muda bado unaruhusu, na nyie mkiwa mikoa hiyo yenye Wasukuma wengi, anzeni kutwanga lugha yao. Lissu jifunze maneno mawili matatu hata ya kuwachekesha tu, yatasaidia.
Huu unaoshauri hapa ni ukabila mbaya, kabisa, Wasukuma sio wakabila ndio maana Usukumani tumechagua wabunge kibao ambao sio Wasukuma!.
Magufuli atachaguliwa na Watanzania kwasababu amekubalika kwa uchapakazi wake na sio kwasababu ni Msukuma!.
P
Bila shaka wewe utakuwa mburula wa kinyakyusa!Poti umeanza vibaya,unaitaje wenzio mburula??mkoa wetu mburula ni wandali na wasafw[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Baada ya WAJUMBE kukukata na mwenyekiti alipadhihilisha kuwa ,pamoja na upamne wako wote MaCCM hayakuitaji hata kukuona.Huu unaoshauri hapa ni ukabila mbaya, kabisa, Wasukuma sio wakabila ndio maana Usukumani tumechagua wabunge kibao ambao sio Wasukuma!.
Magufuli atachaguliwa na Watanzania kwasababu amekubalika kwa uchapakazi wake na sio kwasababu ni Msukuma!.
P
Hata kama ataongea kijaruo hatashinda, kwa hizi kanda shida kubwa huwa ni kwa wabunge na hasa wakati wa michakato lakini si nafasi ya uraisi. Kosu hatafikisha kura milioni tatu na hiyo itakuwa historia kwake, na atakuwa kavunja rekodi za wagombea wa chadema, tifauti na mgombea wao ambae ni m CCM Lowasa.Nianze kwa kusema, wote tunajua strategy ya ushindi wa Magufuli toka uchaguzi wa 2015 na hata uchaguzi huu wa 2020 imejikita kuhakikisha anazoa kura za kutosha kutoka kwa Wasukuma.
Natambua huko Kanda ya Ziwa kunajumusha pia mikoa ya Kagera na Mara ambako nadhani Lissu anaenda kufanya vizuri sana.
Wasiwasi wangu upo kwenye kuwashawishi Wasukuma wamuache yule anayejitanabaisha kama mwenzao. Kila akipata upenyo, Magufuli anakitwanga Kisukuma, na hafanyi hivi kwa bahati mbaya.
Magufuli anaweza kuwa hajui Kiingereza na hana exposure sana ya mambo ya kimataifa ila anayaelewa sana mambo ya makabila. Hata yale aliyoyakwaza amefanya hivyo akiwa anajua anawakwaza. Labda anaona hawahitaji.
Ushauri wangu kwa timu ya kampeni ya Lissu, kama muda bado unaruhusu, na nyie mkiwa mikoa hiyo yenye Wasukuma wengi, anzeni kutwanga lugha yao. Lissu jifunze maneno mawili matatu hata ya kuwachekesha tu, yatasaidia.
Kwenye issue za sera, waambieni hayo hayo mnayowaambia sasa ila katika lugha yao. Watawaamini zaidi. Waambieni pia kuna wanasiasa wanataka kuwatumia tu kama chambo.
Mshaulini Lisu akaombe huko kura ili awabadilishe waliobaki, mbona aliwakwepa sasa wakati ilitakiwa akapige bao hapo?Asante kwa ushauri mkuu. Ni mawazo mazuri kutoka kwenye roho yenye heri na matashi mema. Ila mkuu, uchaguzi huu ni wa kihistoria. Magufuli hata Chato hatoboi. Kuna chuki huko imeibuka usiseme. Kweli wahenga walisema "mali za juha huliwa na mweledi" na "maisha bila busara ni hasara".
Yan wewe unawaza Ukabila, ndo akina Magufuli nyie tunataka tuwaondoe!Nianze kwa kusema, wote tunajua strategy ya ushindi wa Magufuli toka uchaguzi wa 2015 na hata uchaguzi huu wa 2020 imejikita kuhakikisha anazoa kura za kutosha kutoka kwa Wasukuma.
Natambua huko Kanda ya Ziwa kunajumusha pia mikoa ya Kagera na Mara ambako nadhani Lissu anaenda kufanya vizuri sana.
Wasiwasi wangu upo kwenye kuwashawishi Wasukuma wamuache yule anayejitanabaisha kama mwenzao. Kila akipata upenyo, Magufuli anakitwanga Kisukuma, na hafanyi hivi kwa bahati mbaya.
Magufuli anaweza kuwa hajui Kiingereza na hana exposure sana ya mambo ya kimataifa ila anayaelewa sana mambo ya makabila. Hata yale aliyoyakwaza amefanya hivyo akiwa anajua anawakwaza. Labda anaona hawahitaji.
Ushauri wangu kwa timu ya kampeni ya Lissu, kama muda bado unaruhusu, na nyie mkiwa mikoa hiyo yenye Wasukuma wengi, anzeni kutwanga lugha yao. Lissu jifunze maneno mawili matatu hata ya kuwachekesha tu, yatasaidia.
Kwenye issue za sera, waambieni hayo hayo mnayowaambia sasa ila katika lugha yao. Watawaamini zaidi. Waambieni pia kuna wanasiasa wanataka kuwatumia tu kama chambo.
Tunataka mfumo wa majimbo (Federation) ili viongozi wetu tuwachague wenyewe kusudi wanapokosea tuweze kuwawajibisha tofauti na sasa ambapo watu walamba miguu ya mtawala ndio hupewa uteuzi na wananchi hawana uwezo wa kuwawajibisha.Huu unaoshauri hapa ni ukabila mbaya, kabisa, Wasukuma sio wakabila ndio maana Usukumani tumechagua wabunge kibao ambao sio Wasukuma!.
Magufuli atachaguliwa na Watanzania kwasababu amekubalika kwa uchapakazi wake na sio kwasababu ni Msukuma!.
P
Ushauri mzuri zaidi ni Lisu kumhakikishia mkubwa wa Polisi nafasi yake mpaka astaafu. Pia Mkubwa wa JWTZ asimame nyutro kwani General ni international rank asijihusishe na siasa.Wote mliochangia siwapingi. Ulikuwa tu ni ushauri. Inabidi juhudi za ziada zifanyike ili kuzigawa kura za Wasukuma.
Nimetoka kuangalia video hii hapa chini, nimeona amewasalimu kwa lugha yao, hapo safi. Kilichobaki, wale wanaobaki huko Sukumaland kuendelea na kampeni, wajaribu kuzingatia ushauri wangu.