Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Kwanini?ila hii inataka uwe humble sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini?ila hii inataka uwe humble sana.
shida nyingine ya kuomba lift kwenye gari za watu ni kufumbia macho utovu wa nidhamu wa dereva(reckless driving).Haina haja ya kuongeza zingine. Hizi za kwako zimejitosheleza.
Ooh, one more code. Kama huna chombo cha usafiri, usipende kuomba omba lift kwa majirani. Utageuka mzigo na majirani wataanza kukukwepa. By the way, kwa nini uishi kwa kujipendekeza na kujichekesha kwenye gari ya mtu wakati Bajaj zipo?
www.wwe.comCodes hizo ni zenyewe, Umezitoa wapi lakini mkuu!?!!
Dah umenichekesha sana ila awe mangi kweli maana mangi wengine miyeyusho kutwa kukutangaza kwa wanaUkihamia makazi mapya cku moja amua kukopa kwa mangi Mchele, sukari, unga etc na kumlipa baada ya cku 2/au 3 hata kama hela unayo. Cku ukikwama hupati shida kumkopa.