STRESS FREE: Vichekesho on fleak! Weka na cha kwako hapa tufurahi

"*Watu waongo sijawah ona!!"
Eti:- 'Milima *haikutani*' *Lakini*
*binaadam wanakutana*"
*Hivi wewe kwa akili yako *unaweza*
*kukutana* *na* *RIHANA*? *Au* *RAMBO*.? *au*
*MESSI*.? *ama JET LEE*.?.
*Huyo* "KITALE *mwenyewe*" teja lakini*
*kukutana nae ufanye kazi*!".
*Sasa kwa tariifa yako utaendelea*
*kukutana na mimi mwanzo mwisho*,
*binadamu wengine wana sifa za*
*milima*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*[emoji13]
 
*Nawapenda [emoji131] sana wanawake[emoji66][emoji66][emoji66] wa uswahili kwa ubunifu wao.Hivi n baadhi ya vicheko [emoji13][emoji14][emoji8][emoji7]walivyocheka kwenye miaka tofauti.*
2002 to 2004-walikuwa wanacheka "hehehe haloooo"
2005 to 2007-wakaja na "heheheee utajijuuu"
2008 to 2010-wakaleta hii ya "heheheee unalooo"
2010 to 2012-wakaleta "hehehe utajibebaaa"
2012 to 2014-wakaja na "heheheee kaoge"
2014 to 2015-safari hii hapa wakacheka "hehehe chezea mie wewe"
2016 -Hpa ss ndo wamekuja na "...heheheee KANTANGAZEEE.."
2017-Wamekuja na hii hapa hehehee wareree,wapi nyonyo
Je unahisi 2018 watabuni style gani ya kucheka
[emoji23][emoji23][emoji23]
_Acha niende ivi narudi..._
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Wanawake banaaaa... Tusaidie Baaba

Jamaa kaamka asubuhi kavaa track suit akamuamsha mkewe
MUME:Amka twende jogging mke wangu? [emoji4]

MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?[emoji19]

MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya. [emoji54]

MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa? [emoji53]

MUME: Basi yaishe endelea kulala

MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?
MUME:Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby [emoji47]
MKE:Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?[emoji40]
MUME:Jamani mi sijasema hilo[emoji20]
MKE:Kwa hiyo mie muongo?
MUME:Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii[emoji21]
MKE:Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?[emoji36]
MUME:Sikia we lala mie naenda jogging.[emoji43]
MKE:Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"
MUME:Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe......
 
*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :hashi jiku mishihe*
*Husband: inamoto kushini hat a pi*
*Wife: jejeta takuna mota shinita*
*Husband: kituya sitina kutara*.
*Wife: totori yatika miniya*

*Uko busy kusoma utadhani unaelewa kijapan kuwaga serious saa zingine*

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] aiseeee mtanivunja
Mbavu aiseee
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] aiseeee mtanivunja
Mbavu aiseee
[emoji1][emoji28]cheka uongeze umri wa kusihi
 
JAMAA,,, hapa ni kituo cha polic???,,,,[emoji67]‍[emoji439]FFU, ,ndiyo tukusaidie nini????JAMAA,, mimi ni kipofu[emoji58],,,,, [emoji67]‍[emoji439]FFU,,,sasa unataka tukununulie macho[emoji102]!!???? JAMAA,,,hapana[emoji847] nataka nifanye fujo ili nione[emoji15],,,, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
*MENDE anamuogopa PANYA, PANYA anamuogopa sana PAKA, na PAKA anamwogopa MBWA...wakati huo huo MBWA anamwogopa MWANAUME na kumbe MWANAUME anamwogopa MWANAMKE...sasa hutaamini nikikwambia MWANAMKE anaogopa #MENDE#*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

WANAWAKE BANAA SOMETIME WANACHOSHA[emoji124][emoji124][emoji124]
 
Hahahaha usitusingizie
 
*Bibi kizee alikuwa kwenye meli.amevaa kofia na upepo mkali ukipuliza, akashikilia kofia kwa mikono miwili. huku gauni likapeperushwa na hakuvaa chupi. mtu mmoja akamuuliza,kwann unashikilia kofia wakat chini kukowazi hujavaa chupi? bibi akajibu: UCHI NINAO ZAID YA MIAKA 85.KOFIA NIMENUNUA JANA TU....*[emoji2][emoji23][emoji2][emoji23]
 
Hahahahaha...Nampenda mke wangu!
 
Hahaha kuna kaukweli hapo si bure[emoji1][emoji12]
Wanawake wengi mna dramas mpaka sio poa, wife huwa ananikera na ghubu lake sana ikafikia stage nikawa naona nateseka nae tu hamna raha, Juzi kati nikapata kasafari ka almost siku 5 mbali na bibie nikauchuna no contact. Siku narudi amenimiss mbaya ananambia alikuwa anakonda hana mtu wa kumsumbua, nikajikuta nafurahi tu anaanzisha mechi siku 3 mfululizo na kupikiwa vitu special hadi nikashangaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…