STRESS FREE: Vichekesho on fleak! Weka na cha kwako hapa tufurahi

STRESS FREE: Vichekesho on fleak! Weka na cha kwako hapa tufurahi

[emoji16]
 

Attachments

  • _20170413_161134.JPG
    _20170413_161134.JPG
    87 KB · Views: 432
Vifahamu vyuo vikuu vya bongo, ni noma..!

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOM[emoji23][emoji121]

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAU[emoji12][emoji185]

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA[emoji8]

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya[emoji15]

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM [emoji33][emoji33][emoji33][emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]

[emoji675][emoji675][emoji675][emoji675][emoji675][emoji675][emoji675][emoji675][emoji676][emoji675][emoji683][emoji683][emoji683][emoji683]
JE, KWAKO KUKOJE? ???
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Kama ulikuepo vile[emoji769]
 
MAPENZI NI MATAMU ILA ACHA KIHEREHERE..

Ama hakika mapenzi ni matamu sana ukimpata akupendaye mkashibana. Kumjali mpenzi wako ni jambo la msingi sana lakini ni vizuri kuepuka kuwa na kiherehe sana. Jamaa mmoja alijikuta taabani mara baada ya kumkurupukia mpenzi wake.

Jamaa mmoja alikuwa na demu wake ambaye alikuwa anamjali sana kwa kila kitu. Yule demu alikuwa kila anachotaka jamaa anatoa. Kwa ufupi jmaa alikuwa anamjali sana demu wake.

Siku moja kama kawaida jamaa aliamka asubuhi na kuchukua simu yake kisha akampigia mpenzi wake wa moyo.

Jamaa: Mambo baby umeamkaje?
Demu: Siko poa sana…
Jamaa: Nini mbaya mpenzi?
Demu: Nina mimba halafu sikupanga iwe sasa!
Jamaa: Khaaa! Mbona tulikuwa tunatumia kinga umepataje?
Demu: Kani nani kasema ya kwako?

Hivi navyooongea jamaa kakimbizwa Muhimbili kazimia kwa mshtuko! Kweli mapenzi ni matamu! Ungekuwa wewe ungefanyaje aisee?[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji80] [emoji134]
 
MAPENZI NI MATAMU ILA ACHA KIHEREHERE..

Ama hakika mapenzi ni matamu sana ukimpata akupendaye mkashibana. Kumjali mpenzi wako ni jambo la msingi sana lakini ni vizuri kuepuka kuwa na kiherehe sana. Jamaa mmoja alijikuta taabani mara baada ya kumkurupukia mpenzi wake.

Jamaa mmoja alikuwa na demu wake ambaye alikuwa anamjali sana kwa kila kitu. Yule demu alikuwa kila anachotaka jamaa anatoa. Kwa ufupi jmaa alikuwa anamjali sana demu wake.

Siku moja kama kawaida jamaa aliamka asubuhi na kuchukua simu yake kisha akampigia mpenzi wake wa moyo.

Jamaa: Mambo baby umeamkaje?
Demu: Siko poa sana…
Jamaa: Nini mbaya mpenzi?
Demu: Nina mimba halafu sikupanga iwe sasa!
Jamaa: Khaaa! Mbona tulikuwa tunatumia kinga umepataje?
Demu: Kani nani kasema ya kwako?

Hivi navyooongea jamaa kakimbizwa Muhimbili kazimia kwa mshtuko! Kweli mapenzi ni matamu! Ungekuwa wewe ungefanyaje aisee?[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji80] [emoji134]
 
WASHUA NA SIMU ZA KUPANGUSA[emoji23][emoji38]
Wazee wengi ni watata na wanakuwa manunda sana wakiwa nyumbani. Sio rahisi sana kupiga stories na dingi kila wakati.

Lakini siku hizi muda pekee ambao unaweza kuzoeana na dingi ni pale unapomfundisha kutumia simu ya smartphone yaani simu za kupangusa.

Huwa wanakuwa wapole sana aisee yaani hapa unaweza hata kumwagiza maji ya kunywa na akakuletea huku umepiga nne kwenye kochi!

Chezea simu za kupangusa…………………….

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
ACHA MASWALI YASIYO YA MSINGI

Jamaa mmoja kwa kupenda vya kunyonga siku moja aliingia choo cha stendi bila kupenda. Tabia yake ya kuuliza maswali yasiyo na msingi ilimtokea puani na kumwacha mdogo kama kanyeshewa mvua ya mawe.

John: Cuzo, nasikia siku hizi unafanya kazi bakery.

Cuzo: Ndiyo, nafanya job kwa bakery bana.

John: Mbona hujawahi niletea mkate hata mmoja bana?

Cuzo: Dada yako yule anafanya kazi airport amewahi kuja na ndege kwa nyumba? Ehee! Wewe mwenyewe wafanya kazi mortuary, ushawahi kuja na maiti? Tafadhari usinikasirishe, sijalipwa mshahara mwezi wa tatu huu![emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji12] [emoji23]
 
MSIKIE UYU MTOTO ANASEMA NINI[emoji23]

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
akamfuta mamake)
MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
kwa baba)
MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
manyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo wao[emoji23][emoji23][emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
NAONA MWALIMU HUNIPENDI
Alex ni mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya Mtakuja. Siku moja mwalimu aliingia darasani na kuwataka wanafunzi wasome hadithi moja iliyokuwa inahusiana na wanyama.

Baada ya kuisoma ile hadithi kwa kina na kuona matukio ya ile hadithi, mwalimu aliamua kuuliza maswali. Swali hili lilielekezwa moja kwa moja kwa Alex.

Mwalimu: Alex! Simba akianza kukufukuza utafanya nini?

Alex: Nitapanda juu ya mti.

Mwalimu: Je, na simba naye akipanda juu ya mti utafanya nini?

Alex: Nitakimbilia mtoni niogelee.

Mwalimu: Je, simba naye akikufuata mtoni?

Alex: Mwalimu! (Huku kahamaki) Uko upande wangu au wa simba? Maana sikuelewi kabisa, kama hunipendi sema tu.[emoji23][emoji38]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] Alex noumaaa
 
ACHA MASWALI YASIYO YA MSINGI

Jamaa mmoja kwa kupenda vya kunyonga siku moja aliingia choo cha stendi bila kupenda. Tabia yake ya kuuliza maswali yasiyo na msingi ilimtokea puani na kumwacha mdogo kama kanyeshewa mvua ya mawe.

John: Cuzo, nasikia siku hizi unafanya kazi bakery.

Cuzo: Ndiyo, nafanya job kwa bakery bana.

John: Mbona hujawahi niletea mkate hata mmoja bana?

Cuzo: Dada yako yule anafanya kazi airport amewahi kuja na ndege kwa nyumba? Ehee! Wewe mwenyewe wafanya kazi mortuary, ushawahi kuja na maiti? Tafadhari usinikasirishe, sijalipwa mshahara mwezi wa tatu huu![emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jana nilikula bakuli 4 za maharage.Demu wangu akanipigia kunialika chakula cha jioni home kwao.Nilipofika akanikumbatia kwa bashasha vile hakuamini kama ningeenda,akasema"bby nina suprise kwako,fumba macho"nikafumba.Akanifunga kitambaa usoni kisha akaniongoza hadi kwenye kiti changu mezani.Kabla hajanifungua kitambaa cm yake ikaita chumbani,akaomba aende kupokea ila akanisisitiza nisifungue kitambaa,akaenda..Yale maharage nilokula yakaanza kunikoroga tumbo,likajaa gesi.Nikajibinua kwa kushoto nikapunguza gesi kidogo.Harufu ilikuwa mbaya nikatoa leso mfukoni nikapungapunga hewa kupunguza harufu,masikio yakiwa makini kusikiliza maongezi ya cm chumbani.Nikajibinua upande wa pili nikaachia makombora km matatu ya kimyakimya.Harufu ilikuwa mbaya zaidi ya kabej na maharage yalochacha!nikachukua leso nikapukutapukuta hewa.Mara cm ikakata huko chumbani,akaja,akaniulza"bby hujatoa kitambaa kwel?"kwa uso usio na hatia nikamjibu"hapana bby",akanifungua.Ghafla wageni 12 akiwemo baba na mamaake wameketi huku wameziba pua!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] daaaah hiii weka mbali na watoto dah siyo mchezo[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] jmn duuu maharage siyo mchezooo yanamkosesha jamaa mke hivihivi
 
Jana nilikula bakuli 4 za maharage.Demu wangu akanipigia kunialika chakula cha jioni home kwao.Nilipofika akanikumbatia kwa bashasha vile hakuamini kama ningeenda,akasema"bby nina suprise kwako,fumba macho"nikafumba.Akanifunga kitambaa usoni kisha akaniongoza hadi kwenye kiti changu mezani.Kabla hajanifungua kitambaa cm yake ikaita chumbani,akaomba aende kupokea ila akanisisitiza nisifungue kitambaa,akaenda..Yale maharage nilokula yakaanza kunikoroga tumbo,likajaa gesi.Nikajibinua kwa kushoto nikapunguza gesi kidogo.Harufu ilikuwa mbaya nikatoa leso mfukoni nikapungapunga hewa kupunguza harufu,masikio yakiwa makini kusikiliza maongezi ya cm chumbani.Nikajibinua upande wa pili nikaachia makombora km matatu ya kimyakimya.Harufu ilikuwa mbaya zaidi ya kabej na maharage yalochacha!nikachukua leso nikapukutapukuta hewa.Mara cm ikakata huko chumbani,akaja,akaniulza"bby hujatoa kitambaa kwel?"kwa uso usio na hatia nikamjibu"hapana bby",akanifungua.Ghafla wageni 12 akiwemo baba na mamaake wameketi huku wameziba pua!!
Duuu hatar
 
Machizi walikuwa wamepanga Kutoroka... Wakasema watamvizia Mlinzi wa geti alafu watamnyongaa...!! Sasa ilee wamefika getini wakakuta mlinzi Hayupoo...!! Wakasemaa oohoo turudi jamani Mipango yote imeharibikaa...Tukajipangee upyaa...!!
 
Machizi walikuwa wamepanga Kutoroka... Wakasema watamvizia Mlinzi wa geti alafu watamnyongaa...!! Sasa ilee wamefika getini wakakuta mlinzi Hayupoo...!! Wakasemaa oohoo turudi jamani Mipango yote imeharibikaa...Tukajipangee upyaa...!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo ya Mabinti haya

Binti: Hallow mpenzi, Mambo

Jamaa: Poa baby

Binti:Uko wapi?

Jamaa: Niko town napata lunch

Binti: Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi

Jamaa: Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?

Binti: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.

Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.[emoji16]

Binti: Kwanini dear?

Jamaa: Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli[emoji15][emoji23]
 
Back
Top Bottom