Stress Free Zone

Stress Free Zone

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nayapenda Ney kuna siku nilienda uswahilini huko nikakuta yanauzwa 500 acha nikule ya buku na chapati jamaan
Mie vichwa vya kuku na utumbo yaan nikiona mahali akili inahama kabisa nipate na pilipili yenye ndimu ya kutosha weee nitakula balaah hata sijali mvurugiko wa tumbo hayo matokeo ni mbele kwa mbele [emoji6]
 
Mie vichwa vya kuku na utumbo yaan nikiona mahali akili inahama kabisa nipate na pilipili yenye ndimu ya kutosha weee nitakula balaah hata sijali mvurugiko wa tumbo hayo matokeo ni mbele kwa mbele [emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata mm mambo ya mvurugiko wa tumbo huwa sijali kuna siku nipo huko ndaniii nikakutana nayo nipo na dada angu nisiende kukaa nikaagiza ya buku hiyo sehemu ney acha tu mazingira yake dada angu aliniambia nakuacha unachokitafuta utakipata sijui tumbo sijui ninii nikamwambia niacheee nikajilia mapupu yangu na chapati zangu na soda nimetoka hapo roho ina amani kula kitu inapenda
 
Back
Top Bottom