Naruhusiwa kuja na kidumu cha petrol?kwa wale ambao majina yetu yameanzia na herufi A. kesho tukutane ikulu
haswaaaaaa....., ingawa kuna advanceNaruhusiwa kuja na kidumu cha petrol?
Bila kusahau tundimu [emoji39] [emoji39] [emoji39]Bandama ipikwe pamoja na mapupu. Daah. Pilipili pembeni. Aiseee.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] hili jina maarufu sana utafikili ndio kiswahili official
EheeNilikuwa natoka Arusha Ijumaa kuja Seven Eleven...!
Mie vichwa vya kuku na utumbo yaan nikiona mahali akili inahama kabisa nipate na pilipili yenye ndimu ya kutosha weee nitakula balaah hata sijali mvurugiko wa tumbo hayo matokeo ni mbele kwa mbele [emoji6][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nayapenda Ney kuna siku nilienda uswahilini huko nikakuta yanauzwa 500 acha nikule ya buku na chapati jamaan
Eeeh. Haswaaa.Bila kusahau tundimu [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Sawakwa wale ambao majina yetu yameanzia na herufi A. kesho tukutane ikulu
Kuna lingine Utumbo a.k.a PamphletWoiiiiii me sijui jina lingine najua mapupu kuna lingine bandama
Acha hizo bwana[emoji15] [emoji15] [emoji15] wa kishua Ney ukuje umemuona wa kishu huku [emoji1][emoji1]
Cjui 2 kafichwa nani?Ukimpata unitag.
Nimemiss hadi nimesahau mgawo wa Makinikia
Wewe lako linaanzia na K, tuliza kwanza.kwa wale ambao majina yetu yameanzia na herufi A. kesho tukutane ikulu
Marahaba dada mzima wewe?Ney Shkamo
Maini mepesi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Naombeni Jina halisi la "mapupu" shunie,sakayo neybright na wengineo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata mm mambo ya mvurugiko wa tumbo huwa sijali kuna siku nipo huko ndaniii nikakutana nayo nipo na dada angu nisiende kukaa nikaagiza ya buku hiyo sehemu ney acha tu mazingira yake dada angu aliniambia nakuacha unachokitafuta utakipata sijui tumbo sijui ninii nikamwambia niacheee nikajilia mapupu yangu na chapati zangu na soda nimetoka hapo roho ina amani kula kitu inapendaMie vichwa vya kuku na utumbo yaan nikiona mahali akili inahama kabisa nipate na pilipili yenye ndimu ya kutosha weee nitakula balaah hata sijali mvurugiko wa tumbo hayo matokeo ni mbele kwa mbele [emoji6]