Mmmmh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata mm mambo ya mvurugiko wa tumbo huwa sijali kuna siku nipo huko ndaniii nikakutana nayo nipo na dada angu nisiende kukaa nikaagiza ya buku hiyo sehemu ney acha tu mazingira yake dada angu aliniambia nakuacha unachokitafuta utakipata sijui tumbo sijui ninii nikamwambia niacheee nikajilia mapupu yangu na chapati zangu na soda nimetoka hapo roho ina amani kula kitu inapenda
Poa mzima wewe?Age mate mambo?
Me mbona ni kibonge tu bila mapupu bonge haswaI bet umeshakuwa kibonge sasa hivi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Amebanwa kidogo mkuuJamani mtoto mzuri Ukhuty apiti mitaa hii nimlie mingo?
Hiyo huwa hatufkilii wakati tunakula [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Usiombe upatwe na tumbo la mvurugiko usiku utaniambia....[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
HahaMe silali leo nakesha na Ney mpaka uzi wa usiku wa manane ongeeni tu yaan nipo
Shauri yake mzururaji huyoYuko mtaani huko anazurura
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Si umwambie tu kama yanaitwa ma...mbu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bonge ajitangaza kuanzia lini.Me mbona ni kibonge tu bila mapupu bonge haswa
Hello
Vichapati eti 200 nilitamani niagize hata 5 [emoji1][emoji1][emoji1] vyepesi nikaogopa macho ya watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nieleweshe hebuSasa dada kama hujui mapupu si wa kishua wewe jaman
Sana tuu aiseeh, Noah angeendesha sasa hiyo 14000 atafanyia nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inawezekana hizi mambo za Noah zimemvuruga kabisa
Kwanza nilale me sio mtoto mtu nina age ya 55 huko unanilazaje mapema jamanLala bana. Kuna Viumbe wanataka kupita hiyo njia wende na 50 zao!
Nimeitwa huko chumbani, hata sijui kuna nini. Ngoja niende. Nikitoka huko ntakumwagia story za saba moja moja!Mzima sweetheart...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15] [emoji15] [emoji15] wa kishua Ney ukuje umemuona wa kishu huku [emoji1][emoji1]
AiseeMe mbona ni kibonge tu bila mapupu bonge haswa
Dada huwezi kuelewa lazima ushangae ujueMmmmh
Yaaan nipo jamaan aendelee tuHaha
Kama Nakuona vilee
Hataki bwaaanaaMe silalii mwambie slim aendelee tu