Mlete huku SakayoWoiiiiii samehe mimi slim ebu endelea basi na mambo ya kumuhadithia sakayo
AuntieUnavyoshangaa sasa kama mtu vile!!!
Nzuri kabisa mwaya. Hivi ndani ya huu mwezi umejifunza upishi gani mpya na mie unifundishe?Salama mpenzi, habari za huko kwenu
Atakuwa shunie maana bei yake ni kimnunulia mapupu tuTafuta tu mdogo wangu. [emoji2]
Naona unamisiana mtu na mdogo wake [emoji4]Nakumiss ujue?
Nyie jitoeni tu ufahamu, hiyo siku nitawasuuza na nafsi zenu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti auntie we hapana [emoji114]
HayaMuda WA kutuliza kichwa sasa
NipoMlete huku Sakayo
Itakuwa uko antactica maana tangu uniambie utaleta ni mwaka wa nne huu!!Nitaleta auntie
Have a nice weekend dadaHaya
Ooooh eti eeeh!!!Nisamehe jamani
Mie panya wangu ninaowajua ni wewe na sakayo.Kimeliwa na panya jaman sakayo aliniambia
Punguza hasira ya kitenge, tusalimiane kwanza.Afikishe wapi!! Namuangalia tu anavyojichekesha wakati kitenge hajaleta.
Hahahaaaa!! Sidanganyiki, ulete vitenge vyangu kwanza.Auntie
Nakupenda mimi
Mie nimejifunza kupika uji, sasa najua kupika chai na uji. Inatosha sijifunzi tena.Nzuri kabisa mwaya. Hivi ndani ya huu mwezi umejifunza upishi gani mpya na mie unifundishe?
[emoji85] [emoji85]
Duuuuh!! Salama kabisa mama. Huko kufichwa kuna usalama kweli!!Punguza hasira ya kitenge, tusalimiane kwanza.
Habari za masiku tele?
Subiria baada ya nusu saaSufuria LA supu ndo limenileta humu nashangaa silioni
Shunie kashalisuuza kitamboSufuria LA supu ndo limenileta humu nashangaa silioni
Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho KhoItakuwa uko antactica maana tangu uniambie utaleta ni mwaka wa nne huu!!