Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Jana ulikuwa wapi Kumbee... Si ulisema Ulienda kwa auntie wewe??? Na ukarudi UsikuPeleka Kitenge cha auntie bhana..
Tena kitenge nimetoka nacho Kongo kabisa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana ulikuwa wapi Kumbee... Si ulisema Ulienda kwa auntie wewe??? Na ukarudi UsikuPeleka Kitenge cha auntie bhana..
Tena kitenge nimetoka nacho Kongo kabisa..
Auntie jaman za wewe
Mie mzima mpenzi, hope uko salama kabisa!My dada nimekumiss jamani. Mzima weye?
Marhabaaa mshikaji wangu, hahaha kwema lakiniShikamoo mshkaji wangu
Tafuta tu mdogo wangu. [emoji2][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ngoja nitafute wakili kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie madai yake huwa hayaishiHawajambo jamani... Kitenge tena auntie...
Cc Shunie
Emmyta
Alafu mkwe hiyo avatar inafanya nikupotee! Ndio uzalendo?[emoji3][emoji3][emoji3] Anacho..
Isijekuta keshaenda kupimia sare manake sasa hivi wana sherehe za harusi na mashost zake hadi December hivi
Kwema jaman mshkaji wangu mbona umecheka hivyoMarhabaaa mshikaji wangu, hahaha kwema lakini
Nimefurahi kuona mwandiko wako kwangu mshikaji wanguKwema jaman mshkaji wangu mbona umecheka hivyo
Ulinikataza bhana..Jana ulikuwa wapi Kumbee... Si ulisema Ulienda kwa auntie wewe??? Na ukarudi Usiku
Mweeeeh!! Kwahiyo unajifanya na kujua haujui kabisa mama!!!Hawajambo jamani... Kitenge tena auntie...
Cc Shunie
Emmyta
Hahahaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie madai yake huwa hayaishi
Jaman kwani mwandiko wangu hauonagi mshkaji wangu usinifanyie hivyoNimefurahi kuona mwandiko wako kwangu mshikaji wangu
Jigunishe tu!Mmmmh
Kimeliwa na panya jaman sakayo aliniambiaHahahaa..
Apeleke kitenge cha watu bhana.
Salama kabisa mama.Auntie jaman za wewe
Niko salama kabisa dada namshukuru M'mungu niko poa kabisa.Mie mzima mpenzi, hope uko salama kabisa!
We ulikula hadi mahari kwakweli nimekuvulia kofia. Hivi huwa mnaambiana ili mfanye makusudi eeh!! Mie nawaangalia tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie madai yake huwa hayaishi
Hahaha Siku hizi nimekuwa mvivu kuingia huku mshikaji wangu, ndio maana nimefurahi kuona mwandiko wakoJaman kwani mwandiko wangu hauonagi mshkaji wangu usinifanyie hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We ulikula hadi mahari kwakweli nimekuvulia kofia. Hivi huwa mnaambiana ili mfanye makusudi eeh!! Mie nawaangalia tu.