Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
KK niaje....!??We nenda ila usipotee wala kuibiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KK niaje....!??We nenda ila usipotee wala kuibiwa.
Si unajua uhenga nao mshkaji wangu ukipiga hodi sio wewe tu yaan tupo wengiHahaha Siku hizi nimekuwa mvivu kuingia huku mshikaji wangu, ndio maana nimefurahi kuona mwandiko wako
Jichekesheni tu, ila kapu la mama mjue ndio mshalila hivyo. Siku ya siku nakuja mkavuuuuuu, na simu yangu tu mkononi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DaaahSitashangaa maana yeye vyangu vyake na vyake ni vyake. Kuna siku itabidi tu fimbo itumike.
Unavyoshangaa sasa kama mtu vile!!!Daaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti auntie we hapana [emoji114]Jichekesheni tu, ila kapu la mama mjue ndio mshalila hivyo. Siku ya siku nakuja mkavuuuuuu, na simu yangu tu mkononi.
Ni kweliWeekend ndio hiyoo aisee
Muhimu uzima Tu dada
Na kweli uhenga mshikaji wanguSi unajua uhenga nao mshkaji wangu ukipiga hodi sio wewe tu yaan tupo wengi
Mzima sana ujue ameamua kupumzika jfNa kweli uhenga mshikaji wangu
Jamaa mzima lakini Yule?
We acha tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie madai yake huwa hayaishi
Nadhani kitakuwa na vumbi bora asikifikishePeleka Kitenge cha auntie bhana..
Tena kitenge nimetoka nacho Kongo kabisa..
Akikujibu niiteAlafu mkwe hiyo avatar inafanya nikupotee! Ndio uzalendo?
Yamekuwa hayo tena jamaniUlinikataza bhana..
Nikarudia njiani na vitenge vya auntie
Muda WA kutuliza kichwa sasaNi kweli
Nitaleta auntieMweeeeh!! Kwahiyo unajifanya na kujua haujui kabisa mama!!!
Salama mpenzi, habari za huko kwenuSijambo my dear. Habari ya siku tele?
Nisamehe jamaniJigunishe tu!
EwaaaKimeliwa na panya jaman sakayo aliniambia
Ameamua mwenyewe kweli?Mzima sana ujue ameamua kupumzika jf
Usijali ngoja niandae mapokezi ya kukupokea kuja kujisevia Mapupu hadi makongoroNielekeze bana nikwende huko nikiwa na safari ya kkoo nikajilie mapupu mie na chapati zangu