Mie hata sijawahi kutamani, na hivyo sipendi taabu!!!Umeonaeee mie huwa nawashangaa sana wanapovitumia vile vijiti Ila tukipata mwanga kidogo itatuweka sehemu fulani sio sawa na kuwa washangaaji.
Kweli kabisaUmeonaeee mie huwa nawashangaa sana wanapovitumia vile vijiti Ila tukipata mwanga kidogo itatuweka sehemu fulani sio sawa na kuwa washangaaji.
Ebu mwambie aendelee basiShkamo
Ahahahaaaaaa ilishawahi kunikuta hiyo sitakaa nisahau nilichezea mafuta bureWeeeeh siku ya kwanza kupika kacholi basi zinatawanyika tu kama chura, jamani nilicheka hiyo siku!!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kaamua kupumzika sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naanzaje kumzuia jaman
Hahaaa. Sawa dada. Inabidi niamini tu kwamba kupika nikipaji.Mie hata sijawahi kutamani, na hivyo sipendi taabu!!!
Ikabidi nimtafute farkhina nimuuluze nilikosea nini, akanielekeza basi ndio nikaziwezea. Hizo na egg chop zilinisumbua siku ya kwanza.Hahaaa. Ukajuta kuharibu viazi vyako. Pole sana dada ila ukipika mara kwa mara unazowea ujue.
Nyumbani mama karibu sanaHuo upishi mwajifunzia wapi?
Kwenye kujifunza hasara za hivyo hutokeaga.Ahahahaaaaaa ilishawahi kunikuta hiyo sitakaa nisahau nilichezea mafuta bure
Yam yam [emoji532] huwa inakuwa tamu balaahHuwa napenda na nyama za kusaga.
Au unazichemsha kidogo then unakaanga nyama na viungo(vitunguu,hoho,,karoti nk) then unamimina tambi unakaanga kidogo then waweka mayai unakaanga kama chipsi zege vile, mwanangu anapenda kweli kunywa na chai.
Hongera kwa kuvijua kuvipika my dada. Mie egg chop najua za kununua tu ila sijawahi jaribu kuzipika.Ikabidi nimtafute farkhina nimuuluze nilikosea nini, akanielekeza basi ndio nikaziwezea. Hizo na egg chop zilinisumbua siku ya kwanza.
Nyumbani na muosha naniliu!!! [emoji134] [emoji134] [emoji134]Nyumbani mama karibu sana
Ni kweli kabisaKwenye kujifunza hasara za hivyo hutokeaga.
Sio kwa kunitamanisha huko my dada lol.Huwa napenda na nyama za kusaga.
Au unazichemsha kidogo then unakaanga nyama na viungo(vitunguu,hoho,,karoti nk) then unamimina tambi unakaanga kidogo then waweka mayai unakaanga kama chipsi zege vile, mwanangu anapenda kweli kunywa na chai.
Njoo nikufundishe mamii, napenda sana kupika. Hivyo kitu kama nakipenda lazima nijifunze. Vitumbua ndio vilinizingua ila sasa navimudu.Hongera kwa kuvijua kuvipika my dada. Mie egg chop najua za kununua tu ila sijawahi jaribu kuzipika.
Itabidi nije nijifunze siku moja.
Mie sitasahau siku ya kwanza naanza kujifunza kupika cake nilitamani kulia kwa sababu mwisho wa siku nikajikuta imeungua juu na chini kuja kuikata katikati ni bonge la uji.Ni kweli kabisa
Hiyo kitu ni tamu, utasikia "maimuu(akimaanisha mwalimu) npikie ile kitu!"Sio kwa kunitamanisha huko my dada lol.
Keshaondoka ujueEbu mwambie aendelee basi
[emoji17] [emoji17] [emoji17] unanipa wasiwasSijawasiliana nae kabisa yaan
Hahaaaa. Mie upande wa vitumbua nachukia ile geuza yake tu kwa sababu pale utulivu unahitajika.Njoo nikufundishe mamii, napenda sana kupika. Hivyo kitu kama nakipenda lazima nijifunze. Vitumbua ndio vilinizingua ila sasa navimudu.