Stress Free Zone

Haha
Mume tena???? Humu kupata mume ni changamoto, usijali mateke yangu hayana madhara kwa niwapendao
si huwa unaziona nyuzi za wanaume wa Dar, wanasema ni wa laini, eti wanashiba soseji 2 tu, lunch zao chips yai, waoga sana! Sa kwa hayo mateke yako, utwakimbiza!
 
si huwa unaziona nyuzi za wanaume wa Dar, wanasema ni wa laini, eti wanashiba soseji 2 tu, lunch zao chips yai, waoga sana! Sa kwa hayo mateke yako, utwakimbiza!
Hahaha
Sitaki uchonganishi na kaka zangu wa dar ujue!!!! Wasiniogope kabisaa
 
Hahaha
Sitaki uchonganishi na kaka zangu wa dar ujue!!!! Wasiniogope kabisaa
Hapo sawa. Nina mpango wa kuahmia Dar, sa sijui itakuwa kweli ile wahenga wanasema "ukienda wa wenye chingo, vunja lako jicho!"
 
Hapo sawa. Nina mpango wa kuahmia Dar, sa sijui itakuwa kweli ile wahenga wanasema "ukienda wa wenye chingo, vunja lako jicho!"
Wewe nakuaminia, najua utabeba mahindi ya kutosha!!! Halafu hivyo vimisemo vyako ujue sina kamusi
 
Wewe nakuaminia, najua utabeba mahindi ya kutosha!!! Halafu hivyo vimisemo vyako ujue sina kamusi
Wahenga hao, utakuwa hukuwa na Mwl mzuri wa Kiswahili, enzi zile darasa la 6C, Mabondeni Pri School!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…