Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me sitakiiii hizo mambo pls mambo yangu ni siri yangu tufunge hii madaKuna Mambo Kadhaa Naitaji Jua Toka Kwako
Kama Hutajali Nije Pm Na Isiwe Public
Am doing good [emoji7][emoji7] miss uKweli nimepotea ila weekend kama hivi napata walau nafasi kidogo, na mida yenyewe ni kama hii. How are you doing my dear friend?
Teh tehaha ha haaaa nimekumbuka mbali.... I remember those days.
Kweli kabisa nakuheshimu sanaSijawahi kumsumbua Shunie, Shunie nimetoka naye mbali hasa kwenye story ya Peniela, ambayo ni story pekee hapa Jf niliifatilia mwanzo mpaka mwisho. Baada ya hapo nikawa mwalimu wake kwa mambo kadha wa kadha, sina kawaida ya kusumbua wala kukera watu.
Kila la heri fakalava Mungu akusaidieNiko huku Kibiti nachoma mkaa Mungu akijaalia naona tanuli langu litanitoa, nitakuja Kigamboni kutumbua.
Kweli cuzoo si ndio wanavyosemagaHaaaaaa
Cuzoo cuzoo unataka kuniletea usumbufu eenh wakuje wakutane na kibibi gagula wanianzishie thread nipambane nayoHuyu bado kigori kabisaaa
Kigori......???Huyu bado kigori kabisaaa
Cuzoo una nini leo lakini jamanHahaaaa wewe unawafunika woteeee hata hawataki
Kwani we unahisi me kibibi eenh muwe mnaangalia avatar tunazoweka huwa zinasadifu tulivyoKigori......???
Akikujibu slim uniite cuzooHuu mguu wa nani
Ahahhaha anajua me nipo kama bibi yake
Na kweli wenyewe tunajipenda na uzee wetuKabisaa watuache na uzee wetu kwa kweli. [emoji23] [emoji23]