Imeenda poa hunie sijui wewe nakuhamu tu shunie mimiAfadhali hata umeonekana,roho itatulia sasa.
Vipi lakini siku yako imeendaje.
Ahahahha mambo anayoyapenda huyoShemeji uko faster [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shunie msaidie mumeo jibu mubashara kabisaSamahani mkuu mapupu ndiyo madude gani maana kwa kabila letu mapupu ni kitu flani hivi
He he nenda kaoge maji ya bahari mwezi mzima[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hii gundu niliyonayo sio ya Dunia hii....
PoyeeeeKodoooo
Samahani mkuu mapupu ndiyo madude gani maana kwa kabila letu mapupu ni kitu flani hivi
Ahahahha yaan Mwifwa umenifanya nimecheka kwa nguvuShunie msaidie mumeo jibu mubashara kabisa
HahahahaaaaaHe he nenda kaoge maji ya bahari mwezi mzima
EeehNataka nikasugue mgongo bhana..[emoji11]
Hapana jaman si ndio kutoa magundu tenaHahahahaaaaa
Hunitakii mema.
Unataka nikakauke eeehh!!
Natamani niingie kwenye simuNdio nimekuja jamaan yaan kama nakuona huko ulipo
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ebu tuambie ni kitu gani hiko kwa kilugha chenuAhahahha yaan Mwifwa umenifanya nimecheka kwa nguvu
Kawaida ujueNakuona tu jinsi unavyomsumbua Baba D, hadi akutengee maji tena ya uvuguvugu[emoji134]
Mmmmhhhh.Hapana jaman si ndio kutoa magundu tena
Umemuona youngAhahahhh jambo mimi
HayaKawaida ujue
Kama bombadiaShemeji uko faster [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yani hujanizidi mimi,ila nashukuru siku inaisha vizuri kabisa babe, karibu tupate gahwaImeenda poa hunie sijui wewe nakuhamu tu shunie mimi
Ahahhahhah nalifahamu sana hilo jana mpaka naingia kulala sijaamini haujakuja ila ujue dada we ni mnaa hakiii youngblood nachangamsha nae jukwaa simjui hanijui masikini wala pm yangu haijui sema jana alinitisha anaonekana ni muhandsome si unajua me na wahandsome hatupatani napenda sura ngumu sura ya kiumeNatamani niingie kwenye simu
MmmhBasi mapupu yanatosha tu
Ahahahhhh nitamwambia vizuri tukiwa wawili tu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nimeshangaa kuulizwa hilo swali ilihali mwenye jibu ndio ubavu wake.....