Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Amenishinda tabia kwakweli [emoji23] [emoji23]Ahahahha mambo anayoyapenda huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amenishinda tabia kwakweli [emoji23] [emoji23]Ahahahha mambo anayoyapenda huyo
Ishia hapo hapo jiraniSakayo atanigawia kimoja tu hapo
Ebu niambie unataka kutoa kwa njia ipiiiMmmmhhhh.
Sio kwa njia hiyo..[emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kama bombadia
Nimemuona bae wake mimi apa shunieUmemuona young
Shunie hayajui hayo mapupu,yanaonesha kabisa yamekaa kisharishariShunie msaidie mumeo jibu mubashara kabisa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama bombadia
Nakuja babeYani hujanizidi mimi,ila nashukuru siku inaisha vizuri kabisa babe, karibu tupate gahwa
AhahahhhhhAmenishinda tabia kwakweli [emoji23] [emoji23]
Jirani Si unajua huwa napoaje?Asante Jirani
Pole na wewe pia
Nayajua babe ni ya kula ahahahhhShunie hayajui hayo mapupu,yanaonesha kabisa yamekaa kisharishari
Hizo sifa ninazo shunie wala usipate shaka, siku ukija mjini kula mapupu mambo yakuwa mubashara kabisa....Ahahhahhah nalifahamu sana hilo jana mpaka naingia kulala sijaamini haujakuja ila ujue dada we ni mnaa hakiii youngblood nachangamsha nae jukwaa simjui hanijui masikini wala pm yangu haijui sema jana alinitisha anaonekana ni muhandsome si unajua me na wahandsome hatupatani napenda sura ngumu sura ya kiume
MmhhJirani Si unajua huwa napoaje?
Nilishangaa kwa ukimya nikahisi labda tumeptwa!Leo ni leo tu
Khaaaa Mwifwa veep weweHizo sifa ninazo shunie wala usipate shaka, siku ukija mjini kula mapupu mambo yakuwa mubashara kabisa....
Haya na uchoyo wakoAhahahhhh nitamwambia vizuri tukiwa wawili tu
Ni kama yale yanayoning'inia kwa beberuEbu tuambie ni kitu gani hiko kwa kilugha chenuAhahahha yaan Mwifwa umenifanya nimecheka kwa nguvu
HahahaaaaAhahhahhah nalifahamu sana hilo jana mpaka naingia kulala sijaamini haujakuja ila ujue dada we ni mnaa hakiii youngblood nachangamsha nae jukwaa simjui hanijui masikini wala pm yangu haijui sema jana alinitisha anaonekana ni muhandsome si unajua me na wahandsome hatupatani napenda sura ngumu sura ya kiume
Marahaba. Hujambo? Kwetu shikamoo km hiyo unaitoa huku unainama kidogo!Shikamoo Slim
Jiraniiiiiii[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ukikamatwa huko mrombo shauri yako