Ndo ukataka niuzia kesi eehYani mchana katika pitapita zangu kule MMU nikakutana na uzi kuna mtu anadai amedata kwa mtoto wa kitanga,ilibaki kidogo tu nichafue hali ya hewa nilidhani amekuzimika wewe.
Huwezi kuibiwa babe, yani ningekuwa na uwezo ningewwka kama hiyo mgongoni ili wakae mbali na mimiBabe kuna wezi ujue
Bora umeliona hiloHaaahaaaaa
Muosha naniliuuu kampikuuu
Kwani huwezi jisaidia MwifwaNdio bana nisaidieni
Sisemi mieeeeeKama nakuona huko ulipo jamaan ebu niambie mara young kiben 10 nafanyaje shunie mimi mbona itakuwa kupatwa kwa shunie
Pole sana[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nishatemwa Shunie..
Gundu imeniandama kila kona...
Yaaani Ben ten fuuuuluuuuuAhahahhh hapo young kanimaliza kabisa naona mambo ya shedede
Yaan sijawahigi kupika ila kuna siku nipo tanga kwenye msiba zilichinjwa ngombe tukaambiwa tupike supu ya utumbo na hiyo ebu nitajiaribu tenaNitafurahi ukipika wewe, si unajua tena mtoto wa kitanga kwa mapishi nakuaminia.
Chungu lkn dawaHii tiba ni ngumu bana
Nauliza ujueKhaaaaaa
Kalale usije ukatudondokea[emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42]
Hebu fafanua hapo kwenye ye kiben10Ahahahhh nitakufwa mimi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Yani mchana katika pitapita zangu kule MMU nikakutana na uzi kuna mtu anadai amedata kwa mtoto wa kitanga,ilibaki kidogo tu nichafue hali ya hewa nilidhani amekuzimika wewe.
Ahahahhh hakiii young ni Ben 10 ujueYaaani Ben ten fuuuuluuuuu
We tulia tuBora umeliona hilo
Sasa fanya kampango jirani huu upweke kama wa watu wa kale sio mzuri
Siku gani tena babeHapana Bana hizo mambo wanatumia vitoto ujue unanifanya nikumbuke ile siku ya fiesta
Ahahahahahahha na kukandia kote kule Ben 10 nitacheka kufwaaSisemi mieeeee
[emoji3] [emoji3] [emoji3] yani acha tu.Ndo ukataka niuzia kesi eeh
AhahahhhhHuwezi kuibiwa babe, yani ningekuwa na uwezo ningewwka kama hiyo mgongoni ili wakae mbali na mimi
Nasubiri nilale kwenye kochiKalale usije ukatudondokea