Stress Free Zone

Stress Free Zone

Babe kuna wezi ujue
Huwezi kuibiwa babe, yani ningekuwa na uwezo ningewwka kama hiyo mgongoni ili wakae mbali na mimi
e81d38aa673dcc29d2b456bcf956003d.jpg
 
Yani mchana katika pitapita zangu kule MMU nikakutana na uzi kuna mtu anadai amedata kwa mtoto wa kitanga,ilibaki kidogo tu nichafue hali ya hewa nilidhani amekuzimika wewe.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Shunie aliwahi kuzimikiwa na muosha masufuria enzi zile hawajazoeana, kuna siku tukalifukua hilo kaburi muosha masufuria akawa mdogo kama kidonge cha piriton
 
Back
Top Bottom