Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
[emoji3] aisee mungu anakuona ujue.Dada nimecrop hapo ujue kitu cha M hivi young kanifundisha ukweli uchoyo jaman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] aisee mungu anakuona ujue.Dada nimecrop hapo ujue kitu cha M hivi young kanifundisha ukweli uchoyo jaman
Huyu bibi niko radhi kuuza ile nyumba yetu ya urithi lakini sio kumuacha.Kiukweli unafaidi. Uzuri wa vibibi kama hivi, vinakupa vyote, ili usiondoke!
PSakayo sio vizuri keki ungeleta ya the whole family halafu shunie ungempa kisu atukatie najua angempendelea Ben 10 lkn na ss tungeonja kidogo
Wewe! Wewe! Wewe!Huyu bibi niko radhi kuuza ile nyumba yetu ya urithi lakini sio kumuacha.
[emoji3] [emoji3] mambo ya chumbani si unajua tena shemejiSasa huko pm nitauonaje,acha uben ten bhana
Hebu ukwende hukoo[emoji3] [emoji3] mambo ya chumbani si unajua tena shemeji
[emoji3] [emoji3] kweliHebu ukwende hukoo
Hizo buti sasa duh
Ila Ben 10 anaonekana ana mapenzi ya dhati bhanaHizo buti sasa duh
Mfyuuuuu zakoNa mlivopendezana!
Ahahhahha yaan sakayo wewe ye wa kwanza niniiSasa huko pm nitauonaje,acha uben ten bhana
Na hao tena ni shunie pia na bae wake
Asanteeee babe [emoji8][emoji8][emoji8] ndio mana nakupendaHuyu bibi niko radhi kuuza ile nyumba yetu ya urithi lakini sio kumuacha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]P
Mdogo wangu kama kuolewa basi hapo ni changamoto... Kawa mchoyo kupita maelezo
Una ninii lakini slimWewe! Wewe! Wewe!
Utawatesa wadogo zako!
Kama nakuona hakiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu ukwende hukoo
Hiki ndiyo nini
Kwahiyo mm ndio sina mapenzi ya dhati eenhIla Ben 10 anaonekana ana mapenzi ya dhati bhana
Atasema me na weweHiki ndiyo nini