Lakini wewe najua uko na kiwango cha juu cha uvumilivu
Hapo ndo nakupendeagaNitajitahidi!
Unatengeneza?
Nimeamka salama mwaya Jirani.....
Habari za wewe Jirani!!!
Asante JiraniNiko powa my
Mdogo wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani
Kama Ben ten kweli umepata
Angetakiwa awe kama T mwenzake hajalalaEti wa kwanza kukuwish
Shikamoo SlimKesi za urithi haziendi Mahakamani siku hizi. Ni mwendo wa Mlimgotini. Mtarogwa. Take care. Watakuotesha ndevu na wakukaushe hako kachura unakomsumbulia mjukuu wa watu
T ni jembe wewe.... Usiku alikuwa aniota jamani!!!!Angetakiwa awe kama T mwenzake hajalala
Marahaba!Shikamoo Slim
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikimkumbuka T nabaki kucheka tu naona aliomba saa 6 ifike mapemaT ni jembe wewe.... Usiku alikuwa aniota jamani!!!!
Habari za kukijenga chamaMarahaba!
Yaani nikikumbuka hapo tu... Roho yaniumaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikimkumbuka T nabaki kucheka tu naona aliomba saa 6 ifike mapema
Na kwako piaNawatakia mchana mwema wapendwa
Asante sakayo.Na kwako pia