carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
NakumissJamaan [emoji134] [emoji134]
[emoji7] [emoji7] me moree darling za weweNakumiss
Poa za kupotea[emoji7] [emoji7] me moree darling za wewe
Jaman mbona sijapotea sana carbaPoa za kupotea
Jana sikukuonaJaman mbona sijapotea sana carba
Niliingia usiku mwayaJana sikukuona
NdioJamaan [emoji134] [emoji134]
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Ndio
Basi nashukuru kukuona leoNiliingia usiku mwaya
Asante kipenziBasi nashukuru kukuona leo
bomba sana hunterMzima kabisa.
Hunter mwanaharakati aje aje?
Nawe pia mrs. Lee naona mama mchungaji kakuachia upako[emoji6][emoji524]ZABURI 91
5.Hutaogopa hofu ya usiku,wala mshale urukao mchana.
6.Wala tauni ipitayo gizani wala uele uharibuo adhuhuri.
MUNGU AWABARIKI MUWE NA USIKU MWEMA MLINDWE NA DAMU YA YESU KRISTO ...[emoji1374][emoji1374]
[emoji120] [emoji120] Ameen Ameen dingi mtoto si unajua mtoto wa nyoka ni nyokaNawe pia mrs. Lee naona mama mchungaji kakuachia upako[emoji6]
Shunie[emoji524]ZABURI 91
5.Hutaogopa hofu ya usiku,wala mshale urukao mchana.
6.Wala tauni ipitayo gizani wala uele uharibuo adhuhuri.
MUNGU AWABARIKI MUWE NA USIKU MWEMA MLINDWE NA DAMU YA YESU KRISTO ...[emoji1374][emoji1374]
AbeehShunie
Kwakuwa jinsia zote zinaruhusiwa wacha na mimi nitupe karata yangu hapa pengine Kazamaradi Mketema kamoja ka hapa Jf kanaweza kunifuata inbox ili na mimi nimwage chozi..Hapa jinsia zote zinakaribishwa.
SawaAbeeh