Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Changamoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukajua yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukajua yeye
Bora umemwambiaaHalafu unanichanganya na hiyo avatar
Toa kabisa...Naitoa jamaaan
Haha [emoji23]Huo ndio ukweli ujue watu sijui kama wanalala humu jamaan khaaa na usikute mijitu ya hivyo ni vibabu gagula na mvi zao basi tu avatar fake zinaficha mengi
YaaniBora umemwambiaa
Kule nipo sana tuu sema naingia night kali mno.Safi umeadimika kijiwenin kulee naona makazi mapya haya
Aiseeh pole sana bestJamani leo kisaikolojia sipo sawa,mwanangu kaungua na moto kalazwa hospital ya rufaa mbeya.Nipo mbali na familia kikazi,mpaka kazi ni leo nimeshindwa kuingia
Yeah ni ka Ben 10Kumbe ni ka Ben 10
aisee, sawa vip shemej jambo lakinKule nipo sana tuu sema naingia night kali mno.
Mzima wa afya jamani, asanteh kwa kujaliaisee, sawa vip shemej jambo lakin
karibu, vip za majukumu ya kulijenga taifaMzima wa afya jamani, asanteh kwa kujali
Tunamshukuru Mungu kwakwelikaribu, vip za majukumu ya kulijenga taifa
Kwema dear habari za masiku teleKwema jamani
Baba D[emoji5] [emoji5] [emoji5]Na sasa hivi kwa mbali unajua ni nani Mwifwa [emoji4][emoji4]
Aitoe bana.Halafu unanichanganya na hiyo avatar
poa tu, kamanda aje aje hukoHuku kijiweni veepee
safi, basi mpe hi shemTunamshukuru Mungu kwakweli
Huku kwema kabisa, habari za weweHuku kijiweni veepee