[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nayapenda Ney kuna siku nilienda uswahilini huko nikakuta yanauzwa 500 acha nikule ya buku na chapati jamaan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shunie wewe mapupu unakula mie sipendi yanavyodanadana mdomoni yaan kwa kifupi hayatulii yakatafunwa vizuri [emoji28]
Binafsi sipendi kitu cha kunisumbua akili yangu.
[emoji120] Ameen dada Mungu akusaidieAnaendelea poa... Weekend naweza tua makazi
Subiria nakuletea. Ikiondoka hiyo NissanMmmmh
Sa ntafanyaje
Hamna kabisa yaaniHuko hamna hata redio ya Mbao inayoshika Redio Tanzania tu[emoji5] [emoji5]
Habari za masiku NeybrightAiseeh mbona nitakupenda zaidi, napenda sana hayo makitu [emoji14]
Sasa dada nimeona 711 kama sio no za bahati za tatu mzuka ninii jamaanHahaha. Yaani wewe
Amina[emoji120] Ameen dada Mungu akusaidie
Chapati ngapi ulikula?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nayapenda Ney kuna siku nilienda uswahilini huko nikakuta yanauzwa 500 acha nikule ya buku na chapati jamaan
Hamna kituu bhanaSubiria nakuletea. Ikiondoka hiyo Nissan
Daaaahhh!!Sitakiiiii [emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na vyuma vilivyokaza3 Mzuka imeleta balaa mtaani kwetu. Jamaa katangazwa kwa Tv kashinda m60. Kaenda huko wanakotoa cheque! Kurudi home, akiwa karibu na home kaona ukoo mzima umejaa barazani unamsubiria. Jamaa asizimie!
Labda nne bomba[emoji5] [emoji5] [emoji5]Me kulala sina usingizi slim ebu weka hizo mambo za tatu mzuka
Yaan wewe kumbe sakayo alisema kweliSubiria nakuletea. Ikiondoka hiyo Nissan
Poah Linaamo yupo wapi? Namtafuta kama makinikiaPouwah tu karibu kijiweni
Nilijifunza kula Kongoro pale Engineering COET! Sa hivi nimemaster mpk kuyatengeneza.Aiseeh mbona nitakupenda zaidi, napenda sana hayo makitu [emoji14]
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Nafurahi kusikia hivyo Mwifwa
HahaSasa dada nimeona 711 kama sio no za bahati za tatu mzuka ninii jamaan
Mbili vichapati vyenyewe vyepesi jamaan mapupu [emoji39] [emoji39] [emoji39]Chapati ngapi ulikula?