Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Yeah ni Rwanda au MtutsiPlus Rwanda nadhani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ni Rwanda au MtutsiPlus Rwanda nadhani
Labda hajui kuwa apa sisi kama sehemu yetu ya kukutanaMwambie kabisa huu upo miaka yote sehemu yetu ya soga tukishatoka darasani
Zama sio mtanga jaman ni mmnyema
Watanifanya nilie bure!Kwani hao wananini?
Hata hivyo...Mkuu hatushindani sisi
Ingia nayo tu bado hawajafagia.Niingie na malapa au nivue?
Ingia nayo tu bado hawajafagia.Niingie na malapa au nivue?
Bangi tena...hata shisha zipo!Umetukaribisha, kuna bangi humu?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Naomba nyama ya mtu nusu kilo,na damu ya paka nusu glasi!Kila kitu kinapatikana hapa
Naomba chodaNikupe maji shoga mana sio kwa kikohozi hicho mmh.
Lete nyongo nne za kuanzia[emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377] Ohoo, c★ emmyta kumbe yumo humu[emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Kila kitu kinapatikana hapa
Naona hivyo mhengaKwahiyo apa ndio kijiwe chetu eenh cha kukutana