Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me niko na 17 sasaMnaotaka kuzeeka endeleeni,sisi wengine tunarudisha umri nyuma[emoji23][emoji23]
Msanii wa filamu Tanzania ambaye pia alishawahi kutwaa taji la mrembo wa Tanzania Wema Abraham Sepetu, amewacharukia na kuwajibu watu wanaoendelea kumsema vibaya kuhusu umri wake sahihi.
Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Wema Sepetu ambaye hivi karibuni amesherehekea siku ya kuzaliwa na kutimiza miaka 29, amesema kama wao ndio wamemzaa basi umri wanaotaja ndio sahihi.
“Hao wanaosema kama wao ndio wamenizaa sawa, lakini aliyenizaa mama yangu Bi Mariam Sepetu ndio anajua umri wangu sahihi, sasa wao wanalazimisha sijui nimezaliwa lini, hawajanizaa wao, walionizaa ni Mariam Sepetu na Dady Isaac Abraham Sepetu sio wao”, amesema Wema Sepetu.
Umezaliwa 2000....duh!Me niko na 17 sasa
Ukipata chochote kitu basi usisite kuachia nafasi ya waliobaki nasi tunyapie nyapie wengine.Baada ya muda mrefu wa ukapela hapa JF,nadhani hapa ndio pekee ya kupata ubavu wangu[emoji15]
Madame kwa kubadili avatar[emoji14]Jiwe Langu mtu asitoe.
Mamy ni nini mbaya jamani.... Nimekumiss ujueNiingie na malapa au nivue?
Unaogopa kulia?Watanifanya nilie bure!
Naendelea mapambano huko Prime MinisterUkipata chochote kitu basi usisite kuachia nafasi ya waliobaki nasi tunyapie nyapie wengine.
Me niko na 14 sitaki masiharaMe niko na 17 sasa
Ooh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi ndo 15 imeingia juzi
Kabisa yani....mtu mzima sio vzuri kulia lia hovyo!Unaogopa kulia?