Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
NaishiaaaaUsiondoke bana, sikusemi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NaishiaaaaUsiondoke bana, sikusemi tena
Ni kweli lakini kuna mda inabidi tu uepushe vituMh, sasa usipokula nauli mtu akazusha mwenyewe shida iko wapi... Unajua binadamu lazima waseme tu.
Kweli haujamuona alivyoongeaHahahahaha
Hamna masharti yoyote hapa ni kuserereka na kuserebuka hadi basiiiiiAsanteni kwa kunikaribisha naombeni abcd za humu
[emoji137][emoji137]
Ndiyo maana nimesema anavisaNa yeye anakupenda sana maksudi tu anakufanyia
[emoji15] [emoji15][emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji15]
Babe sitaki uwe Ben10 nitakufwa shunie mie[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] aisee
Nyuma kwa nyuma nani atajua[emoji47] [emoji47]We ingia tu utajua mbele kwa mbele
Kama ushalipwa hiyo posho nigawie ya mapupuHatujambo slim vipi wewe pole na mambo ya chama posho vipiii hili ndio la maana
Mie mwenzio wala hazinibabaishiBabe kupenda avatar fake au comments teh teh
Ndio aingie tu atajua tuNyuma kwa nyuma nani atajua[emoji47] [emoji47]
Habari yako brother[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Babe nakuhamu tu mimi [emoji8]
Yani babe hunishindi mimi,hope you are doing fine.
Yeah i'm very fine babe vipi wewe
Mimi pia, nashukuru Mwenyezi Mungu niko vizuri kabisa,.... bado tunaendelea kuitafuta grease tulainishe vyuma.
He he kwahiyo vyuma bado vimekaza eenh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mnoo
Ahaha,yani havitaki kabisa kulainika.
Hivi sakayo yuko wapi!?
Ahahha pambanaaa sakayo nimeongea nae kwa simu mda si mrefu nimemwambia ukuje jf annaiambia nikuja january ila anawasalimia
Kumbe alikuwa serious, mwambie nampa hi
Atakuja nahisi nimempa mkwara nitamnunia mpaka hiyo mwakani yake
Shem
Nasikia waniita kwa fujooo.... Hutaki ni left in peace????
Mna fujoooo[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Usileft bana,tumekuzoea
Mzima lakini?
Ndio mana nakupendaMie mwenzio wala hazinibabaishi
PanganiNilisahau jamaan ya wapi sasa tutaenda
Niko hapa jiraniMajirani zangu wako wapi jamanii
Veep hizo quotesMna fujoooo[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Acha bwana shemejiNaishiaaaa
Tanteee [emoji8][emoji8][emoji8] nikajua ya znzPangani