Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Unaingia JF kumuongelea mtu kupunguza stress za maisha. Mwenzio anaingia benki ku deposit pesa. Haya maisha haya![emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kukaza fuvu kakaMi naona ni wewe unayestahili maombi zaidi kuliko huyo Nandy.
Na ZUCHU kashashinda zake mapemaMwaisa mtu mbadi
Ndo habari Gani hz usiku wote huu wa ma8 "Sokapo hapa"
Unamuwaza Sana Nandy
Kila mmoja acheze mechi zake
MeMkuu wewe ni me au ke?
Yeah fact na ndo Mana JOEL LWAGA Ana hit ,ona Sasa kilichomkuta WILLY PAUL kisa kutapatapaWCB inajitetea Kwa data , wengine watabwabwaja tuuu ooh sjui nan mkali, inashangaza leo unaimba NATAKA TANGO , CHOMEKA , na pia upo uchi uchi , alaf kesho unaimba NINAKUSIFU ...... Hebu tuache mzaha .....chagua kimoja kama bongo fleva ni bongo fleva kama ni gospel iwe ni gospel ...... Ndo haya ya Goodluck Gosbert ya kutapa tapa mwisho kapotea
Soon nawaweke zoote ili wajue kutofautisha,maana RAYVANNY tu Hadi mmakonde kasurrenderMkuu Kigoma Independent wawekee na statistics kabisa za Sportfy na Apple music alaf convert kwenye mpunga , na waambie Zuchu anakula 30% Tu pale WCB na Nady anakula 100% alaf tuone nan anapiga hela ....
Fact maana SUKARI inamtesa sana in AFANDE SELE voiceHa ha haaa. Nandy ni Utopolo iliyochangamka. Ha ha ha haaaaaa
Fact level za SIMI now ZUCHUNow days Nandy amekuwa utopolo sana.Kufariki kwa Ruge amemuachia pengo kubwa Sana Nandy.kwa Sasa naona upepo upo kwa Zuchu ile ZUCHU UNPLUGGED niliiyoiona Ni [emoji91] sana akiendelea ubunifu wa namna hii atazidi kuwa juu Sana.
Ovyo Tena kiwango Cha PHD na SGRKabisa tangu afariki jasiri muongoza njia Nandy amekuwa ovyo Sana.
Muziki haujui maana yake ko kalale Kwanza,unajua kigoma tunasifika kwanini....????Muda mwingne tuache kulalamika ukosefu wa ajira kwa vijana
Wakati vijana mindset zao ndio hizi?
Mkuu chukua jembe ukalime mambo ya zuchu na nandy waachine wakina dada
Yeah na ndo maana Tanzania hakuna usagaji halaliWanawake huwa hampendani..
Kalale kijana wa kike,Kwanza njoo inboxWote wanamchukia nandy ndani ya uzi huu ni wanawake yaani daah hakuna kidume kabisa hapa
Endelea kukaza fuvuMtu akiniambia mtoa mada ni mwanaume, mm ntakataa
Hapana in mkojani voiceMambo yao waachie wenyewe...
UtopoloNandy amefanyaje?[emoji848]
Endelea kukaza fuvuSiku mtakapo pendana itakuwa jambo kubwa sana
Tuliza kichwaKwani huyu sio dada mkuu??
Don't hate be inspiredHapa jf wanaume tupo kumi tu wengine wanawake wanapigana vijembe kama huyu mtoa mada
Endelea kukaza fuvuUnaingia JF kumuongelea mtu kupunguza stress za maisha. Mwenzio anaingia benki ku deposit pesa. Haya maisha haya![emoji23]