Kwenye wale kumi tuliokuwepo, wewe tutakujadili kama unazo sifa za kuwepo kwasabb umekuja kwenye uzi wa kina dada😁😁😁 ata mm nilikuwa napita tu njiani kuelekea kwenye michezo ila nmesikitika sana kukuona upo hapa mkuu. Hili suala litapewa ajenda ck ya kikao chetu🤣🤣Hapa jf wanaume tupo kumi tu wengine wanawake wanapigana vijembe kama huyu mtoa mada
Hatujuani ko inawezekana wewe ndo Doro hasa[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Tanzania ni mwiko kuwa na wasanii walio juu hata 100. Hivi hizi akili za kutaka msanii mmoja ndio awe juu mmesitoa wapi?
Kwani Zuchu akiwa juu, nandy akiwa juu na wakitokea wasanii wengine wakitokea hata 100 Nyie huwa mnaumia Nini.?
Acha watu wafanye kazi kijana. Fanya kazi. Nandy ana maisha anaweza kukuajiri ukawa houseboy wake. Zuchu ana maisha anaweza kukuajiri uwe mtu wa Garden kwake.
Huo muda wa kuchambua riziki za binadamu wenzio na kuzi underrate ni Bora ujikite mtaani kutafuta Mia za kula.
Najua una maisha magumu kijana, umri unakukimbia kazi kuja kudiscus watoto wa kike. Utakuja kushtuka muda umeenda huna lolote.
Na wewe pia maana umepita kwenye huu uziKwenye wale kumi tuliokuwepo, wewe tutakujadili kama unazo sifa za kuwepo kwasabb umekuja kwenye uzi wa kina dada[emoji16][emoji16][emoji16] ata mm nilikuwa napita tu njiani kuelekea kwenye michezo ila nmesikitika sana kukuona upo hapa mkuu. Hili suala litapewa ajenda ck ya kikao chetu[emoji1787][emoji1787]
Ko ndio nini bwana mdogo.Hatujuani ko inawezekana wewe ndo Doro hasa[emoji23][emoji23][emoji23]
Fact kabisa , et leo unaimba nataka tangoo, Kesho unaibuka nakusifu Mungu , ha haaa kama ameahamia kwenye gospel mazima tujue , hiii kukaa middle atakula mweleka mmoja si wa nchi hiii.....Huwezi kuwatumikia mabwana wawili.......achague Nani wa kumtumikia MUNGU ama shetwani....
Aisee!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwenye wale kumi tuliokuwepo, wewe tutakujadili kama unazo sifa za kuwepo kwasabb umekuja kwenye uzi wa kina dada[emoji16][emoji16][emoji16] ata mm nilikuwa napita tu njiani kuelekea kwenye michezo ila nmesikitika sana kukuona upo hapa mkuu. Hili suala litapewa ajenda ck ya kikao chetu[emoji1787][emoji1787]
Naona wadada wenzio wamelike Slowly na mrembo mwenzenu inno kazaneni mtapewa dera mvaeKwenye wale kumi tuliokuwepo, wewe tutakujadili kama unazo sifa za kuwepo kwasabb umekuja kwenye uzi wa kina dada😁😁😁 ata mm nilikuwa napita tu njiani kuelekea kwenye michezo ila nmesikitika sana kukuona upo hapa mkuu. Hili su
Fact kabisa , et leo unaimba nataka tangoo, Kesho unaibuka nakusifu Mungu , ha haaa kama ameahamia kwenye gospel mazima tujue , hiii kukaa middle atakulaBangi zinakusumbuwa
Ni mvuta bangi Tu kama wewe anayeweza tetea ujinga wa kuchanganya bongo fleva na gospelFact kabisa , et leo unaimba nataka tangoo, Kesho unaibuka nakusifu Mungu , ha haaa kama ameahamia kwenye gospel mazima tujue , hiii kukaa middle atakula
Kama hizo hapo juu kwako ndo unajiita una akili?
Ok kaka na wewe utanikumbuka baadae huko mbele,fanya kazi Ndugu yangu acha kukaza fuvu kwa fact,umri wako unasonga[emoji23][emoji23][emoji23]Ko ndio nini bwana mdogo.
Nimekushauri utakuja kunikumbuka huko mbele. Fanya kazi ndugu yangu acha kushadadia maisha ya watu. Umri wako unasonga.
Fact kaka anguHuwezi kuwatumikia mabwana wawili.......achague Nani wa kumtumikia MUNGU ama shetwani....
Fact kaka anguFact kabisa , et leo unaimba nataka tangoo, Kesho unaibuka nakusifu Mungu , ha haaa kama ameahamia kwenye gospel mazima tujue , hiii kukaa middle atakula mweleka mmoja si wa nchi hiii.....
Ndo ngoma nzuri hizoDah hizi ngoma za WCB zinahitaji uvumilivu kuzisikiliza...sema nini sio kila kitu ni kwa kila mtu
FactAisee!