The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wewe ndiye unayetakiwa kujibu swali langu,hapa issue ni huyo unayemtetea kumtukana faiza,UNAONAJE KWAMBA UNGEJIBU SWALI LANGU?
Je yeye yupo juu ya sheria za JF?
Unaona hajafanya kosa kwa kumtukana Faiza na kumdhalilisha?