Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
🤣🤣🤣Those Mafia from Vatican walikuwa wanatumia kitubio kucollect data.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Those Mafia from Vatican walikuwa wanatumia kitubio kucollect data.
kuna wale wateja wa bagia wanaacha chenchi😂Wenye ofis mmefikiwa sie wauza Bagia
ni kesho😀😀😀
Ata humu jamvini hautaki?Maisha yote nilijiwekea msimamo wa kutokuwa na mpenzi sehemu ninayofanya kazi, mpaka hivi leo amani tele.
Ni kosa kubwa zaidi kulifanya ofisini…
Wale wa kununua Bagia na muuzaji na deli lake ,😂😂😂huku hawapo ndugukuna wale wateja wa bagia wanaacha chenchi😂
HahahahaTeam kataa ndoa imepata mwanachama mwingine 😂
Keshokutwa zamu ya wanaowafungulia wanawake grocery za Pombe.Wenye ofis mmefikiwa sie wauza Bagia
ni kesho😀😀😀
Muosha naye uoshwa, hii ni kanuni ya karma.Vipi wakienda SHIMUTA, safari za mafunzo na kikazi?
Haha ni Mmoja mmoja had kieleweke 😀Keshokutwa zamu ya wanaowafungulia wanawake grocery za Pombe.
Hii kitaalam inaitwa kuyaalika mafisi buchani.
Nimesoma una bebe wako humu, watch tena watch carefully 🤣🤣.Napenda amani sana na huwa nahakikisha nailinda.
Kuna mipaka nimejiwekea na huwa siivuki ukiwemo huu wa mapenzi ofisini/chuo/ shule… Kote huko sijawahi.
Para ya mwisho mkuu, nakupa kofia nyingine ya udaktari🤣🤣Mnachanganya tabia binafsi za mtu na kazi.
Malaya ni Malaya Tu, kuolewa hakumaanishi siyo Malaya, Malaya hatabaki kuwa Malaya Tu huko makazini ni kisingizio Tu.
Naenda bungeni wabunge wote wanalipwa posho sawa lakini wabunge Malaya wanakazwa kama kawaida, hii ni hulka ya mtu.
Kuna wanawake wameshaacha kazi Kwa kutaja kutowa rushwa ya ngono, hii ni tabia ya mtu binafsi haiwezi kumvulia tupu wake mwanaume ambaye si mume wake, hili Nina ushahidi nalo, wapo wanawake wengi Tu Wana misimamo thabiti.
Siwezi kuwaongelea wanaume Kwa sababu nature iko wazi mwanamke mmoja hawezi kumtosheleza mwanaume, achilia mbali tamaa za wanaume lakini ukweli uko hivyo.
Hili liko wazi, ukiona mwanaume muaminifu Kwa Mke mmoja ujuwe hesabu zinakataa, ni tatizo la kiuchumi, maana sasa hivi hakuna K ya bure, hawatuuzi na wala hawatoi bure.Para ya mwisho mkuu, nakupa kofia nyingine ya udaktari🤣🤣
Ila hapa jf ulishindwa!Napenda amani sana na huwa nahakikisha nailinda.
Kuna mipaka nimejiwekea na huwa siivuki ukiwemo huu wa mapenzi ofisini/chuo/ shule… Kote huko sijawahi.
nina uhakika kwa asilimia 98% wewe ni mama wa nyumbaniHabari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Niende moja kwa moja kwa mada inayosema stuka, kila mke na mume ana bebe wake ofisini.
Narudia tena stuka, kuna baadhi ya wake au waume za watu ila kwa ofisi wana bebe kule, huyo anachukua nafasi ya wa nyumbani Tena kwa kujali zaidi.
Huwezi elewa yaani wanakuwa na ukaribu Fulani ambao wanaweza kuchambua karanga wote kwa pamoja.
Picha linaanza pale anapoingia asubuhi mke au mume anakaribishwa na tabasamu matata na mfanyakazi mwenzie.
Wengine wanaenda mbali zaidi kwa kulumbatiana na kukisi.
Njoo sasa ule muda wa chai yaani wanakaa pamoja, wanaandaliana chai, hapo kumbuka vitafunwa mkeo/mumeo alishambinilia mwenzie.
Utamu unaanzia pale chai inanywea kwa mapozi mbalimbali, ambayo hata nyumbani unaweza usiyapate hahaaa...
Mchana wapo tena pamoja, yaani hapa mkeo au mumeo anapelekwa kwenye mgahawa wanakaa pamoja kwa furaha na kula chakula kwa pamoja.
Haitoshi jioni wanaotoka kazini Tena pamoja wanasimdikizana yaani ni wanamahaba mvua kuliko ya nyumbani.
Bado Kuna vile vizawadi vidogodogo kama pipi, biscuit, Ice cream ambazo analetewa mkeo pale kwa job na dume mwenzako.
Bado akirudi nyumbani wanachat kwa WhatApp yaaani ni mahaba tele..
Stuka, mkeo au mumeo ana bebe wake wa kazini ambaye anamjali kulio wewe...
Donatila
Bahati nzuri ofisi zetu mwanamke hatii mguu!Haha!!? You are married, na kuna ka mams kanakufurahisha huko ofisni unakiri kabisa kushikamana nako?
wapo, mpaka bakita wamewapa jinaHili liko wazi, ukiona mwanaume muaminifu Kwa Mke mmoja ujuwe hesabu zinakataa, ni tatizo la kiuchumi, maana sasa hivi hakuna K ya bure, hawatuuzi na wala hawatoi bure.
Hiki kipengele cha kuungana ama kukiri dhambi zako kwa kiongozi wako wa dini kimekaa vibaya, ona mama wa watu amezidi kupata hatia baada ya kwenda kwa mtu kuungama, huyo muungamishaji akiwa na stress anakuongezea dhambi badala ya kuondolea.Hivi mtu na akili zako timamu kabisa unakwenda kuungama Kwa binadamu mwenzako tena huenda anakuzidi madhambi, hii ni akili ya wapi?
Hivi huwezi kuongea na Mungu direct wewe mwenyewe?
Hizi dini zimewatia watu uzezeta kwelikweli.