Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Moja ya tabia mbaya zaidi ni pale unakutana na mwanadada au kaka alafu mkapiga story mara akaanza kucheka
Uwiii domo limepanuliwa kama kiboko mbaya unaona koo, kimeo mpk matundu ya pua meno yooye mpaka unataka kusema si mdomo utachanika huu
Sura inabadilika nyani si nyani sokwe si sokwe tumbili si tumbili mbaya zaidi awe anavutia kicheko yaani anatanua mdomo sauti haitoki ila katikati sasa kakkakakakakakakkakakakak
Heee tubadilike tu smile tu kamzungu
Niahyo tu
TUOE
JENGA FAMILIA
Uwiii domo limepanuliwa kama kiboko mbaya unaona koo, kimeo mpk matundu ya pua meno yooye mpaka unataka kusema si mdomo utachanika huu
Sura inabadilika nyani si nyani sokwe si sokwe tumbili si tumbili mbaya zaidi awe anavutia kicheko yaani anatanua mdomo sauti haitoki ila katikati sasa kakkakakakakakakkakakakak
Heee tubadilike tu smile tu kamzungu
Niahyo tu
TUOE
JENGA FAMILIA