Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Yajue ya kuzingatia Mkuu, ili uachane na yasiyokuhusu.TUOE
JENGA FAMILIA
πππ Ukute mdomo kama wa azizikii wa YangaAcha kuwasema Utopolo....Sio tabia nzuri...!
Ndo uliyoyaona kwenye yote nilioandika π€π€π€ WTFYajue ya kuzingatia Mkuu, ili uachane na yasiyokuhusu.
Ongezea tunyama nyamaHahahaa wanakuja
Watu wacheke kistaarabuOngezea tunyama nyama
Moja ya tabia mbaya zaidi ni pale unakutana na mwanadada au kaka alafu mkapiga story mara akaanza kucheka
Uwiii domo limepanuliwa kama kiboko mbaya unaona koo, kimeo mpk matundu ya pua meno yooye mpaka unataka kusema si mdomo utachanika huu
Sura inabadilika nyani si nyani sokwe si sokwe tumbili si tumbili mbaya zaidi awe anavutia kicheko yaani anatanua mdomo sauti haitoki ila katikati sasa kakkakakakakakakkakakakak
Heee tubadilike tu smile tu kamzungu
Niahyo tu
TUOE
JENGA FAMILIA
π€π€π€Weka tusample twakucheka kwako kwanza hata tuvideo tufupi tuonee!πππ
Acha introduction yake sio mtotoKwamba kabla ya kucheka anapiga starter sekunde 52 unaona meno tu had ndani ya koo alafu sauti ndo inafata
Mkuu Binadamu Mtakatifu umechekwa na nani mtu wa Mungu?Moja ya tabia mbaya zaidi ni pale unakutana na mwanadada au kaka alafu mkapiga story mara akaanza kucheka
Uwiii domo limepanuliwa kama kiboko mbaya unaona koo, kimeo mpk matundu ya pua meno yooye mpaka unataka kusema si mdomo utachanika huu
Sura inabadilika nyani si nyani sokwe si sokwe tumbili si tumbili mbaya zaidi awe anavutia kicheko yaani anatanua mdomo sauti haitoki ila katikati sasa kakkakakakakakakkakakakak
Heee tubadilike tu smile tu kamzungu
Niahyo tu
TUOE
JENGA FAMILIA
Sijachekwa bwana ππππMkuu Binadamu Mtakatifu umechekwa na nani mtu wa Mungu?
Umenifurahisha sana kuna lidada uwa nikiliongelesha linacheka kama jenereta la mkoloni basi mimi hamu sina[emoji16][emoji16]Sijachekwa bwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku fanya utuwekeee voice recordUmenifurahisha sana kuna lidada uwa nikiliongelesha linacheka kama jenereta la mkoloni basi mimi hamu sina[emoji16][emoji16]