SUA badilikeni, achaneni na Panya imetosha

Mtoa maada hembu pitia hii page ya SUA, hzini baadhi ya Research zinazo fanywa na Professa mmoja kutoka SUA, nenda kaangalie Who is funding all researches the guy is doing. Ukimaliza njooo tuendelee kujadili kama taifa tunakwama wapi kukiwezesha chuo cha SUA kutupa its full potential.

Onyo : Msipende kuongea vitu msivo vijua


Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Mbona hatujui kila siku panya tu haya waleteni hata kwenye zahanati wagundue hata iyo corona basi au wako kwa ajili ya corona za maprofesa
Hujui kwa sababu umechagua kuto kujua, pitia hyo website yao uome research zinazo fanyawa then njooo tujadili hapa.


Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa uzi usikalili maisha,huo utafiti kuhusu panya ni ka sehemu kadogo Sana kati ya tafiti nyingi zilizofanywa/zinazofanywa na SUA.
Hakijui hiki chuo!
Nafikiri ndiyo chuo kinachoheshimika zaidi Tanzania hata huko ulimwenguni kwa tafiti.
Wana maabara kubwa ya tafiti za mbegu na wanajenga maabara kubwa na BORA zaidi Africa.
SUA ukisikie tu mitaani ila ni chuo chenye tafiti nyingi zaidi ya panya.

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Mkuu nilikua nakuheshimu sana kutokana na nyuzi zako nyingi humu. Ila kwenye Uzi huu wa Leo nikiri kwamba umeji expose umbumbumbu wako
 
Hana anachokijua huyu, eti verified user....watu wanafanya tafiti na bado serikali haijatoa hata senti kugharamia. Halafu leo anataka watu wafanye tafiti za kwenda sayari ya mars, sijui mabomu ya nyuklia kwa pesa ipi? wajichangishe kutoka mifukoni mwao?
 
SUA iko vizuri sema serikali haijataka kuwekeza kwenye elimu na tafiti. Madawati mpaka leo ni kitendawali eti leo mnataka muanze kuhoji tafiti.....[emoji3][emoji3]


Nisawa na kutegemea lita 30 kwa siku kwa ng'ombe wa Mmasai anae shinda kutwa kuzurula kutafta chakula na maji.Its next to impossible.

Maabara zinazofanya kazi fresh apa SUA, 60% Zimejengwa kwa ufadhili wa watu kutoka nje. Na ni proposal za Ma professa wenyewe sio hata Wizara ya elimu.

Serikali yenu iko busy kupanga mipango ya miaka mitano ya uchaguzi.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Wanafanya detection na siyo quantification..au pants wanaweza fanta quantification pia?
 
SUA ni Sokoine University of Agriculture sidhani kama wanextend mpaka kwenye Uranium uko good point mzee
 
Hao jamaa wanakela hatari,kila mara habari zao ni panya tu na unakuta wanalipwa mishaara kwa kazi zisizo na umuhimu wowote kwenye jamaii.
 
Serikali ina pesa za kulipa wagonga meza, kama pesa za utafiti zipo wajuvi watwambie ni kiasi gani au ni asilimia ngapi ya GDP zimetengwa kupelekwa costech au kwenye vyuo kwa ajili ya kuwezesha tafiti, au tuendelee kutegemea wazungu waje na agenda zao za kitafiti. Naamini wazungu hawawezi kukuletea pesa ufanye utafiti wa kwenda sayari ya mars au utengeneze bomu la nyuklia, hayo wanafanya wenyewe.....wanasiasa wa hii nchi kufikiria kwamba nchi zilizopiga hatua kubwa kwenye maendeleo kiteknolojia zimewekeza sana kwenye elimu na tafiti, the type ya wanasiasa kama kibajaji na msukuma kuna kitu gani hapo unategemea.
 
Kama zipo tafiti nyingine mbona hazisikikii ?? Mimi uwa nasikia panya, panya tu
Pole.Jitahidi kusoma machapisho yao kwenye mitandao.SUA wametengeneza hadi chanjo za wanyama,wanazalisha mbegu za mazao ya aina mbalimbali ambazo zina ubora wa hali ya juu, Tafiti ktk uchakataji na usindikaji wa mazao ya kilimo na mifugo,Wanyama pori,kilimobiashara,mazingira,n.k.Ishu zinazohusu Uranium nadhani mleta Uzi aliteleza kwasababu SUA ni chuo kikuu Cha Kilimo Sasa Uranium sijui itaingiaje.Aidha Mchango mdogo wa Serikali ktk kufanikisha Tafiti mbalimbali ndio kunasababisha juhudi za chuo hiki ktk tafiti za Kisayansi usionekane, maana tafiti nyingi ni ufadhili wa nje.
 
SUA hawataona huu ni ushauri,ni kweli kwa dunia ya leo kufanya utafiti wa panya sijui atambue nini,ni uzembe wa kiwango cha lami;
ningesikia wana-design sensors kwa ajili ya utambuzi wa magonjwa mbalimbali sawa,ila panya hapana;
Wewe umeshafanya utafiti kuhusu Nini??.Hivi vitu unaweza ukadhani ni vyepesi lkn si rahisi kihivyo,rasilimali pesa inahitajika Sana kufanikisha Tafiti,sasa bahati mbaya hata Serikali yenyewe haiwekezi vyakutosha ktk tafiti za Kisayansi.
 
Ni mwaka jana tu wametengeneza chanjo ya kuku inayokinga magonjwa matatu kwa mpigo. Ni ukombozi mkubwa kwa wafugaji wadogo.
 
Vyote ru minashauri tukafugie wanyama wa kuliwa na ile ya dodoma rukaweke wabunge na wafanyakai wote wa umma mengine tubadilishe viwe kumbi za starehe.....list ni ndefu
 
SUA wanazingua wawatrain panya kugundua Kama wife katoka kwa mchepuko au Mr hii itakuwa biashara ya nguvu ingawa tutatembea na sumu za panya mfukoni ni kumuwahi Kama umetoka mahali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…