Moyibi
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,054
- 701
Kweli nimeamini ule msemo wa ndugu na jamaa wa kitaani..!! "SUA IS NOT AN EASY AN EASY THING ".... due to the following reason
- Lecture 1 full masaa 4 Yaliyoshiba..hakuna hata muda wa kunywa chai au hata kula chakula cha mchana...Yaani ngoma mpaka saa 1:30 usiku
-Handout ya masaa 4 au kwa jina lingine dessa kwa wale ndugu zangu wa udzm.. Imeshiba kitu notice over Biological science...
-Hapo bado kitu cha assignment..na kuandika report za practical...at the same time bado hujakaa chini na kuanza kupitiapitia notice..< Kumeza >
Kweli Elimu Ya chuo nah Bata ni ful ku hustle...
- Lecture 1 full masaa 4 Yaliyoshiba..hakuna hata muda wa kunywa chai au hata kula chakula cha mchana...Yaani ngoma mpaka saa 1:30 usiku
-Handout ya masaa 4 au kwa jina lingine dessa kwa wale ndugu zangu wa udzm.. Imeshiba kitu notice over Biological science...
-Hapo bado kitu cha assignment..na kuandika report za practical...at the same time bado hujakaa chini na kuanza kupitiapitia notice..< Kumeza >
Kweli Elimu Ya chuo nah Bata ni ful ku hustle...