engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Ww ni muongo. Ratiba ya kozi gani hiyo? Unataka sifa hapa SUA ya kawaida sana. Mm nakula BVM hapahapa na club naenda km kawa mwaka wa tano huu.
hahahahahaha
usijidanganye mkuu,tulikuwa na rais anaitwa mlenge alikuwa BVM uliza kilichotokea,usidhani hawakuoni,mwisho wa siku utaeleza tu,ama hutokuja eleza hapa.
huyo jamaa anatakiwa kukomaa,hata shule za nje zipo hivyo,lecture baadhi ni masaa 4 hadi 6 na watu wanakomaa nazo hadi mwisho