Moyibi
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,054
- 701
- Thread starter
- #41
ze dudu ..komaa kiukweli nyie watu wa BVM mna kaazi hasa mnapoanza first year...nakumbuka wakat nko first year kuna jamaa anaitwa kitundu yuko BVM 2nd year alikuwa hanyoi hata ndevu yaaan msuli wake ni balaaa...komaa mwana sisi wa engineering mambo magumu bt tunakomaa
hahahahah daah jamaa yuko rough..mbaYa...ila vitu anavyokunywa mbna utasanda...mm mwenyewe nataka nianze fuga nywele