Geezzle
JF-Expert Member
- Jul 25, 2012
- 849
- 267
Inafikia muda unaweza ukazimia kabisa .. ..sasa ue za sua zimekaa kama necta inafikia stage swali moja linakua na 40marks the rest pia yamekazwa mr Marwa kokote ulipo ujumbe wako huu.
Kuna lecturer mwingine course work hatuzijui,test wala asignment hajarudisha alafu anadai ,lazima ashike watu 150 ebu angalieni.....huyo huyo katuuzia vitabu under constant threat usiponunua alisema ``this is university if you will not purchase i will treat you in a fair way` plz wadau liangalieni hili
hahaha!dogooo.,mahmudy anawatoen jasho.usihanye sn kuna kaka zako waliingia na course work ndg na wakatoka!hii ndo sua..lazma utiwe jambajamba kdg!