SUA ni kama juventus.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Sua naifananisha na club kongwe nchni italia ya juventus,licha ya umri wake mkongwe,club hyo haina mafanikio makubwa na wala sio maarufu sana barani ulaya kama zilvyo club nyingne zenye majina makubwa kama manchester united,barcelona,real madrid,chelsea nk..ndivyo ilivyo kwa chuo kikuu cha kilimo cha sokoine,kwani pamoja na ukongwe wake{ikumbukwe sua ndo chuo cha pili kuanzishwa hapa tz baada ya udsm}lakni chuo hki sio maarufu miongoni mwa watu hapa tanzania kama vilivyo vyuo ambavyo vilianzishwa baada ya sua,mfano mzumbe,ifm,muhimbili,ardhi na udom..
 
Juventus ana mafanikio ua kutosha as win champions league for 3 times, italian keague for almost 19 season if I am not wrong, european cup for a lot times plus ndio club ambayo imetengeneza World cup winners wengi kuliko zote duniani..

Juventus has 23 world cup winner in total which no other clubs reach that..

When you talk about Juventus your talkin about Juventus stadium, culture in turin and winners so stop talk shits about Juventus
 
Sijaelewa ujumbe wako hasa umelenga nini
 
Naona unatoa tu ngonjera hakuna hata ujumbe, kwenye jukwaa la elimu hata haufiti na wala kwenye mambo ya mchezo ujumbe wako hata haufiti so we dont know where to put it at all.Kajipange tena ndugu
 
sua is da best place to be.. Ukichomoa udzm hakuna wa kuifikia sua
 

Chezea sua wewe test uone ladha yake
 
unaonaje ungekwenda kwenye jukwaa la siasa, coz ndio maeneo yenu ya kuongea mawazo ya sanaa.no new.....
 
HIVI NA WEWE UNASOMA CHUO KIKUU??? lazima ifikie point wa tz tubadilike!!! nchi au baba ako ameingia gharama za kutosha kukupeleka chuo lakini bado una mawazo ya kitoto mno!!!! uko UDSM hilo halina ubishi,sasa ya SUA yamekutokea wapi? je ni umaarufu gani unaoutaka wewe?? je wakujiuza kwa 500/=,au usharo? je umarufu gani hasa??? we unaifahamu vipi SUA?? INANISHANGAZA SANA KUONA MSOMI KAMA WEWE TENA MWANA UCHUMI MTARAJIWA UNAKUA KILAZA NAMNA HII!!! bado muda unao badili mawazo!! mimi ni mwana-SUA sijafundishwa na ma-prof kubishana watu ambao hawajitambui kama wewe..nnapata wasi wasi sana na elimu unayoipata hapo UDSM!! by the way your warmly welcum at SUA, centre of excellence!!
 
sua is da best place to be.. Ukichomoa udzm hakuna wa kuifikia sua

hahahahaahahahah Sie sind ein Schwachsinn, die auf der Straße verloren, aber nicht jetzt where.and weiß nicht, was Ihr in dieser Welt zu tun
 
hahahahaahahahah Sie sind ein Schwachsinn, die auf der Straße verloren, aber nicht jetzt where.and weiß nicht, was Ihr in dieser Welt zu tun
unakaribishwa pia pande za SUA!! hujachelewa!!
 
unaonaje ungekwenda kwenye jukwaa la siasa, coz ndio maeneo yenu ya kuongea mawazo ya sanaa.no new.....

hahahahahaah umemweza kweli kweli hahahah,nakutakia heri ya xmas na mwaka mpya mkuu
 
sua nije kusoma nini pale labda elimu zake nshamaliza zote usinirudishe nyuma ONGELEA PHD NA DOCTRINE
PhD ZIPO ZA KUMWAGA MKUU!! SIZANI KAMA UTAKUA NA VIGEZO VYA KUJA KUZISOMA!!!
 
phd zipo za kumwaga mkuu!! Sizani kama utakua na vigezo vya kuja kuzisoma!!!

na wala siwezi kusomea hapa bongo kwa taarifa yako .nenda taratibu utafika tu dogo.maisha ni mipango
 
jamani punguzeni jazba, mimi kama nilivyomwelewa,na nadhani ndivyo hivyo, watanzania wengi hawako familiar na chuo cha SUA. Wengi utawasikia wakitaja UDOM,UDSM na vingine na siio kwamba SUA ni vilaza au vitu kama hivyo..
 

afu we dogo unapenda kulazimisha ligi na mimi sana,kama ckosei uliwahi kunisababishia ban kipindi flani hvi.we endelea kusoma hayo mamizizi hapo sua kama mganga wa kienyeji afu ukimaliza ndio unitafute..kubali au kataa ni juu yako mwenyewe..wanafunz wengi wanaomaliza form 6 kwa comb za pcb na pcm,wengi huwa wanandoto za kutinga muhimbili au coet,lakini ndoto zao zinapofifia ndo wanaanza kuangalia options nyingne ikiwemo sua..kwan we mwenyewe si una 3.17 uongo?
 
Tuache ushabiki kwa kuwa tumesoma chuo fulani, ukweli ni kwamba wanafunzi wengi wanaodahiliwa sua ni wenye ufaulu wa division two ama three kwa course zote kwani wanaofaulu vizuri sana kwa masomo ya sayansi huwakuti sua kama ni pcb wenye division one wapo muhimbili na kwingineko wakisoma medicine and other medical courses,, pcm utawakuta coet, egm hawakimbilii agribusiness wengi wenye division one hukimbilia BAF mzumbe na economics pia actuarial science ya udsm. Wengi waendao sua kwa mapenzi na wamefaulu vizuri sana ni wale wenye masomo ya kilimo kwenye combinations zao za a-level.. Lakini pamoja na hayo bado misingi iliyopo sua inatoa vijana wenye competence ya kutosha kwenye soko la ajira kwani ufaulu wa kidato cha sita si guarantee ya kumfanya mtu awe vizuri sana chuoni na baada ya hapo. Umaarufu unakosekana kutokana na nature ya course nyingi zinazotolewa sua (course za kilimo) kuwa si zinazopendwa na kutajwa na wengi ndio maana vijana wanaomaliza kidato cha sita hawaisikii sana sua. Ukweli ni kwamba ubora wa mtu kwenye interview haubebwi na chuo alichosoma bali uwezo na vigezo alivyonavyo. Sua ni chuo kikongwe na kizuri.
 


Vijana someni acheni ligi zisizo na maana, nyinyi ndio baada ya kumaliza chuo mnaanza kulalamika ajira hamna...nadhani tuna tatizo la kimfumo na mimi nasema alaaniwe kabisa aliyeanzisha ufisadi na rushwa Tanzania. Ndio maana kila mtoto anaekua anafikiria kuwa mhasibu, mwanasheria n.k kwa sababu kada hizo zina mianya mingi ya kufanya ufisadi na kupata mafanikio ya haraka. Tunasahau kuwa bila sayansi na teknolojia hatutakaa tuendelee kamwe, na pia kilimo bado ndio uti wa mgongo wa taifa hili, asilimia kubwa (80%) ya watanzania ni wakulima na wafugaji, sasa bila kusoma hiyo mizizi unayoisema hicho kilimo kitamkomboaje mwananchi?

Watu wa kada ya kilimo na mifugo wamekuwa wakidharauliwa na kuonekana kama wamepotea njia, hata serikali iliwasahau na kutowajali ukilinganisha na kada nyingine, lakini mambo yameanza kubadilika na nina uhakika baada ya miaka kadhaa watu watakuwa wanagombania kusomea kilimo na mifugo. La mwisho tujifunze kuheshimu proffesionals zote maana sote tunategemeana kwa namna moja au nyingine hakuna aliye bora kuliko mwingine. "Ujuzi au maarifa yoyote ukiyatumia vizuri yatakukomboa katika maisha".
 

Acha u mbumbumbu we chiz, unaijua JUVENTUS vzr ww? unajua ilianza lin na imechukua vikombe vingap? ISINGEKUWA MAARUFU UNGEIJUA UKIWA TZ YENYEWE ITALY? Hujaenda shule kabisa au elimu yako ni ipi? umekurupuka kuleta uzi baada ya kusoma mawazo ya WAJINGA wengine kama ww, eti UDOM KAMA......., UDSM KAMA......., Jitegemee kimawazo, kufuata mikumbo utaliwa 0713... cku nyingine nyau we.
SUA NI CHUO CHA NGAP TANZANIA KWENYE RANKS, UNAJUA? UNAJUA WATAFITI WALIO BOBEA TZ WAKO WAP, SOMA HAPA Top Colleges & Universities in Tanzania | 2012 University Web Rankings UFUNGUKE AKILI
 
Umenichekesha sana kijana!!! BAN ulipata kutokana na ujinga wako na kamwe ntawapongeza MODs kwa hilo!! mbona mimi nimemaliza form6 na nikataman kwanda SUA!! sina muda wa kupoteza na kuanza ligi na mtu kama wewe,jitambue kwanza!! jua siwezi kuona unaandika u***nkaacha kukuelimisha na sio kwako tu hata kwa wengine...unataka jua nna ngapi? hata nkikwambia hutaweza niamini,afu ongeza bidii hapo udsm unitafute nikuajiri kwenye kampuni yangu baada ya hiyo miaka 3!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…