Sua sua sua sua sua mwaka wa rahaaaaaaaaaaa

Huyu jamaa atakuwa alikuwa mazimbu conference sasa baada ya kumaliza sterss za hiyo conference amekuja jamvin kujipumzisha kozi chuo kinafunguliwa j3 ijayo sasa hiyo kontena za AEA ameziona wapi kama sio stress za sapu
 
....mtindo wa kukaa pale Chini Mti na kuzamia Kahumba kwa Machangu mmeuchoka na kuamua kubuni mtindo mpya wa Kontena, haya chezeeni nafasi....kama SUA kimekua Chuo cha Kata wengi mtapita lakini kama mkazo ni ule ule wa enzi za Msola VICHWA vitaliwa vingi.
 

Wewe sio mwanafunzi wa SUA!!
 
Huyu jamaa atakuwa alikuwa mazimbu conference sasa baada ya kumaliza sterss za hiyo conference amekuja jamvin kujipumzisha kozi chuo kinafunguliwa j3 ijayo sasa hiyo kontena za AEA ameziona wapi kama sio stress za sapu

Umenena!
 
Huyu jamaa atakuwa alikuwa mazimbu conference sasa baada ya kumaliza sterss za hiyo conference amekuja jamvin kujipumzisha kozi chuo kinafunguliwa j3 ijayo sasa hiyo kontena za AEA ameziona wapi kama sio stress za sapu

sikuwa mazimbu conference boya ww...hapa moro ni nyumbani so nimeona totozi hapa na wala cna stress sababu cjashikwa....lete hoja nyingine dada angu
 
hv kwa mawazo ya huyu ndugu yetu wa SUA hv KILIMO kwanza kitatekelezeka kweli? maana naona ana mawazo ya mwanafunzi waDATASTAR TRAINING COLLEGE
 
hv kwa mawazo ya huyu ndugu yetu wa SUA hv KILIMO kwanza kitatekelezeka kweli? maana naona ana mawazo ya mwanafunzi waDATASTAR TRAINING COLLEGE

haya ni matokeo ya umulugo type.
 
hv kwa mawazo ya huyu ndugu yetu wa SUA hv KILIMO kwanza kitatekelezeka kweli? maana naona ana mawazo ya mwanafunzi waDATASTAR TRAINING COLLEGE

haya ni matokeo ya umulugo type.

si zao la mulugo mimi mndukunije ww...
 
Mkuu NAAMINI;

Ficha ujinga wako tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
hapo nina kadem chang first year amechaguliwa biotechnology so nikikusikia ww mbuzi unafuatilia mke wang ntakupiga na podo la mshale
 
.hivi huyu b.w.e.g.e katokea wapi?..kuna kila sababu yakuwa makini na hawa Graduates wa SUA kuanzia mwaka huu 2013 na kuendelea...
 
.hivi huyu b.w.e.g.e katokea wapi?..kuna kila sababu yakuwa makini na hawa Graduates wa SUA kuanzia mwaka huu 2013 na kuendelea...

ha ha ha usinitafutie ban mm wewe ku......sawa ndezi.
 
hapo nina kadem chang first year amechaguliwa biotechnology so nikikusikia ww mbuzi unafuatilia mke wang ntakupiga na podo la mshale

mm si mbuzi mkuu...mimi ni binadamu mwenye akili timamu...dah! Nitafurahi akiwa wa kwanza kuingia mikononi mwangu ebu ntajie jina mana kama kweli anakupenda basi atakusaliti..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…