mm si mbuzi mkuu...mimi ni binadamu mwenye akili timamu...dah! Nitafurahi akiwa wa kwanza kuingia mikononi mwangu ebu ntajie jina mana kama kweli anakupenda basi atakusaliti..
hata kama nikikutajia jina lake hutafua dafu hata kidogo,kwanza mtt anaweza kula boom lako lote na mzigo usipate,pili sitak uishi kwa stress af mwishowe ukadisco dogo,by metal from UDSM.