Jallen
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 517
- 196
Suala la kuangalia hapo ni kuhusu mchakato wa hizo ajira zao ulikuwaje? Kama zilikuwa za upendeleo ndio tujadili lakini suala la kusema tu watoka sehemu moja halina mashiko, na isitoshe nadhani wana sifa za kutosha kwa hayo madaraka walio nayo. Pengine penye utata ni hapo kwenye uteuzi wa Chairman of the Council, kama hana uadilifu ni hoja ya kujadili lakini je upo udhibitisho?
Watanzania tusianze kujadili makabila yetu tujadili uwezo wa mtu, mbona taasisi nyingi tu zinaongozwa na watu toka sehemu moja na wanafanya kazi vizuri tu?
Watanzania tusianze kujadili makabila yetu tujadili uwezo wa mtu, mbona taasisi nyingi tu zinaongozwa na watu toka sehemu moja na wanafanya kazi vizuri tu?