Jagina JF-Expert Member Joined Jan 29, 2019 Posts 8,428 Reaction score 4,022 Sep 11, 2022 #441 jiwe angavu said: Kumbe zilipendwa..basi pole kama unaamini huo ukanda utarudi tena chini ya zenji pole sana..kwa sasa zenji ni koloni la Tanganyika chini ya chama cha kijani. #MaendeleoHayanaChama Click to expand... Kamwambie mama anayewachambisha kila siku
jiwe angavu said: Kumbe zilipendwa..basi pole kama unaamini huo ukanda utarudi tena chini ya zenji pole sana..kwa sasa zenji ni koloni la Tanganyika chini ya chama cha kijani. #MaendeleoHayanaChama Click to expand... Kamwambie mama anayewachambisha kila siku
M makwega7 JF-Expert Member Joined Mar 18, 2018 Posts 3,037 Reaction score 3,316 Sep 12, 2022 #442 TODAYS said: Ndiyo maana nikasema hakuna, utaniambiaje kuna mshindi alafu simuoni kwenye top 5?. Issue ya kusema yupo alafu unasingizia yupo ndani kwa sababu fulani unakosea asee. Kusema wanaogopa can't make sense asee, nyie watu badirikeni asee!! Click to expand... Nilitafsiri vibaya neno "hakuna" Mimi nilitafsiri kama "non existing" Wewe umetafsiri kama "unable", "inable"
TODAYS said: Ndiyo maana nikasema hakuna, utaniambiaje kuna mshindi alafu simuoni kwenye top 5?. Issue ya kusema yupo alafu unasingizia yupo ndani kwa sababu fulani unakosea asee. Kusema wanaogopa can't make sense asee, nyie watu badirikeni asee!! Click to expand... Nilitafsiri vibaya neno "hakuna" Mimi nilitafsiri kama "non existing" Wewe umetafsiri kama "unable", "inable"