Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

Watanganyika mlioko Tanganyika mnauzwazwa wa kifikra mnoo. Hamjui hata mnalolishadidia.

Huku mitaani kwetu Zanzibar kumejaa wauza nyungo, sumu za panya, mifuko, mihogo na wamasai ambao ni mapambo ya hoteli za kitalii maana kwa ulinzi hawa hawana wanachokilinda. Huku mitaani kwetu kuna mpaka wauza papa wenu, kumejaa waschana na wanawake wa kitanganyika wanauza nyapu . Huku kwetu mitaani kuna walemavu na wanaojifanya walemavu wanatoka asubuhi mapema kwenda mjini kuomba, tayari wameshaelekezwa kuwa Zanzibar walemavu hawaombi bado wamekomaa hata aibu hawaoni, kiukweli sisi ndio tunaona aibu kwa uwepo wao.

Hivyo basi, msikae mkajitia hamnazo kusimbulia kuwa wazenj wako singida, kigamboni, Tanga na kwengineko ati muafukuze. Wazenj huko waliko wote wanashughuli zao na wala hawavunji sheria tena kitu cha maana zaidi walipo wazanzibari ujue kuna watanganyika wananufaika na uwepo wao ila nyie huku mnakuja mnauza sumu za panya hamna moja la maana mnalolifanya kwa maslahi ya wenyeji.

Acheni kulaumu, huu muungano mnaojitia kuisema sisi tulishasema na kutoa maoendekezo yetu zamani kuwa hauko sawa na wala hautakaa uwe sawa.

Kuhusu ardhi narejea tena msahau, mnachokitaka huku kwetu hakiwezekani. Tabora, Arusha, Dodoma, Iringa, Mbeya kuna mapende ya ardhi ya kutosha mnaweza kujenga hata mikanisa ya kilomita alfeni mbona hamwendi mkajenga huko, mmeshika kulilia ardhi Zanzibar. Muache ufisadi Zanzibar wenyewe hawataki kujengewe mikanisa.
we punguani kweli, kwahiyo umekuja hapa kujaribu kuaminisha umma kwamba maisha ya bara ni magumu kuliko maisha ya hapo kwenye urojo?
 
Umefanya nicheke kwa kugugumia asee NUMBER 10, ukweli nyie watu hamuwapendi Watanganyika hata kidogo, juzi nipo zangu kitaa stone town hapo kati napiga urojo, anapita dogo wa kiarabu aliyechoka anakokota baiskeli ya walemavu akipiga kelele...

"muondoke stone town hii ni mitaa special ya wazanzibari, mtuachie nchi yetu tumewachoka"

Baadhi hawakumfuatilia ila mmoja alisema "huyu jamaa kachanganyikiwa".

Although akili ya huyo dogo half cast wa kiburushi ndivyo akili za wengi zilivyo, sehemu nyingi duniani kila mtu anaenda popote kwa kufuata sheria na lengo lake na kufanya lolote isipokuwa kuvunja sheria za nchi husika.
 
Wazanzibari hawapendi usumbufu ndugu Mtanganyika.
Ni kweli na ndiyo maana wakati wa ramadhani wakereketwa wanaotumiwa na masheikh wanapita mitaani nyumba hadi nyumba kusaka watu wanaokula kwa kutumia hela zao wenyewe lakini wakereketwa inawauma. Kweli hampendi usumbufu.
 
Watanganyika mlioko Tanganyika mnauzwazwa wa kifikra mnoo. Hamjui hata mnalolishadidia.

Huku mitaani kwetu Zanzibar kumejaa wauza nyungo, sumu za panya, mifuko, mihogo na wamasai ambao ni mapambo ya hoteli za kitalii maana kwa ulinzi hawa hawana wanachokilinda. Huku mitaani kwetu kuna mpaka wauza papa wenu, kumejaa waschana na wanawake wa kitanganyika wanauza nyapu . Huku kwetu mitaani kuna walemavu na wanaojifanya walemavu wanatoka asubuhi mapema kwenda mjini kuomba, tayari wameshaelekezwa kuwa Zanzibar walemavu hawaombi bado wamekomaa hata aibu hawaoni, kiukweli sisi ndio tunaona aibu kwa uwepo wao.

Hivyo basi, msikae mkajitia hamnazo kusimbulia kuwa wazenj wako singida, kigamboni, Tanga na kwengineko ati muafukuze. Wazenj huko waliko wote wanashughuli zao na wala hawavunji sheria tena kitu cha maana zaidi walipo wazanzibari ujue kuna watanganyika wananufaika na uwepo wao ila nyie huku mnakuja mnauza sumu za panya hamna moja la maana mnalolifanya kwa maslahi ya wenyeji.

Acheni kulaumu, huu muungano mnaojitia kuisema sisi tulishasema na kutoa maoendekezo yetu zamani kuwa hauko sawa na wala hautakaa uwe sawa.

Kuhusu ardhi narejea tena msahau, mnachokitaka huku kwetu hakiwezekani. Tabora, Arusha, Dodoma, Iringa, Mbeya kuna mapende ya ardhi ya kutosha mnaweza kujenga hata mikanisa ya kilomita alfeni mbona hamwendi mkajenga huko, mmeshika kulilia ardhi Zanzibar. Muache ufisadi Zanzibar wenyewe hawataki kujengewe mikanisa.
Hivi dada NUMBER 10 unajitambua akili kweli? Zanzibar kuna maisha gani mazuri shinda hapa Bara, sema ukweli.
 

1. Bajeti ya SMZ ni Trillioni 2.5. Bajeti ya JMT ambayo ni Tanganyika ni Trilioni 41

Hivi Wazanzibar wanataka account ya pamoja ya nini? kujadli nini?

2. Makusanyo ya ZRB ni Bilioni 500, TRA ni Bilioni 400. Wazanzibar wanaosema TRA inakusanya na kuleta Bara, ni kiasi gani hicho? Bilioni 400 hazijafika hata nusu Trilioni. Bajeti inaonyesha pesa zote zinabaki Zanzibar

3. Bajeti ya SMZ haina Wizara ya Ulinzi, mambo ya ndani , nje au taasisi za muungano
Gharama hizo zipo katika bajeti ya JMT ambayo ni bajeti ya Tanganyika

4. Kuna eneo linaeleza pesa za mfumo wa elimu ya juu (HEET) ambapo JMT itagharamia Zanzibar Marine institute
Hivi Zanzibar si wana mfumo wao wa elimu ya juu na wizara zao kwanini pesa zitoke Tanganyika?

5. Bajeti ya SMZ haionyeshi wale Wabunge wa Zanzibar wanaokuja Dodoma kusikiliza habari za Tanganyika wanalipwaje. Maana yake gharama za Taasisi ya Bunge kwa Wabunge kutoka Zanzibar zinalipwa na Watanganyika

Ukisoma bajeti ya Zanzibar sehemu kubwa ni elimu , afya na kununua maboti na utalii
Bajeti haina vyanzo vingi vya kodi kwasababu maeneo yenye gharama kama kuendesha wizara na taasisi za muungano zinabebwa na Watanganyika.

Katika kuhakikisha Watanganyika hawabebeshwi kodi na tozo na katika kuongeza vyanzo vya mapato, njia moja ni kupunguza matumizi hapo ndipo Zanzibar inatakiwa ibebe gharama kama za taasisi kama Wabunge wao, ichangie taasisi za muungano na wizara husika.

Kwa kuwa na taasisi za JMT zenye mbadala kule Zanzibar, je, hiyo siyo duplication inayombebesha mlipa kodi gharama?
JokaKuu Pascal Mayalla
 

1. Bajeti ya SMZ ni Trillioni 2.5. Bajeti ya JMT ambayo ni Tanganyika ni Trilioni 41

Hivi Wazanzibar wanataka account ya pamoja ya nini? kujadli nini?

2. Makusanyo ya ZRB ni Bilioni 500, TRA ni Bilioni 400. Wazanzibar wanaosema TRA inakusanya na kuleta Bara, ni kiasi gani hicho? Bilioni 400 hazijafika hata nusu Trilioni. Bajeti inaonyesha pesa zote zinabaki Zanzibar

3. Bajeti ya SMZ haina Wizara ya Ulinzi, mambo ya ndani , nje au taasisi za muungano
Gharama hizo zipo katika bajeti ya JMT ambayo ni bajeti ya Tanganyika

4. Kuna eneo linaeleza pesa za mfumo wa elimu ya juu (HEET) ambapo JMT itagharamia Zanzibar Marine institute
Hivi Zanzibar si wana mfumo wao wa elimu ya juu na wizara zao kwanini pesa zitoke Tanganyika?

5. Bajeti ya SMZ haionyeshi wale Wabunge wa Zanzibar wanaokuja Dodoma kusikiliza habari za Tanganyika wanalipwaje. Maana yake gharama za Taasisi ya Bunge kwa Wabunge kutoka Zanzibar zinalipwa na Watanganyika

Ukisoma bajeti ya Zanzibar sehemu kubwa ni elimu , afya na kununua maboti na utalii
Bajeti haina vyanzo vingi vya kodi kwasababu maeneo yenye gharama kama kuendesha wizara na taasisi za muungano zinabebwa na Watanganyika.

Katika kuhakikisha Watanganyika hawabebeshwi kodi na tozo na katika kuongeza vyanzo vya mapato, njia moja ni kupunguza matumizi hapo ndipo Zanzibar inatakiwa ibebe gharama kama za taasisi kama Wabunge wao, ichangie taasisi za muungano na wizara husika.

Kwa kuwa na taasisi za JMT zenye mbadala kule Zanzibar, je, hiyo siyo duplication inayombebesha mlipa kodi gharama?
JokaKuu Pascal Mayalla
Kamtafute Lukuvi umemueleza haya
 
Kamtafute Lukuvi umemueleza haya
Changieni hela nyie kupe acheni kulialia..mnataka kupewa tu kutoa hamtaki.

Selfish madafakaz.

Huu muungano ni bora sana sema ninyi ndio mnauharibu kila siku kulialia mpewe..nyie hata kipamde cha ardhi kwa mtanganyika hamtoi.

Better kwenda na serikali moja ili kukomesha huu ujinga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Changieni hela nyie kupe acheni kulialia..mnataka kupewa tu kutoa hamtaki.

Selfish madafakaz.

Huu muungano ni bora sana sema ninyi ndio mnauharibu kila siku kulialia mpewe..nyie hata kipamde cha ardhi kwa mtanganyika hamtoi.

Better kwenda na serikali moja ili kukomesha huu ujinga.

#MaendeleoHayanaChama
Hatutaki kuwapa mzigo wa kutuchangia bajeti na ndio maana hatutaki muungano na nyinyi matajiri wa Afrika.

Sisi vijisiwa vyetu vimetutosha na kibajeti chetu kidugu.

MTUACHE TUU KAMA TUNAWAKERA NA UKUPE NA UVIVU WETU
 

1. Bajeti ya SMZ ni Trillioni 2.5. Bajeti ya JMT ambayo ni Tanganyika ni Trilioni 41

Hivi Wazanzibar wanataka account ya pamoja ya nini? kujadli nini?

2. Makusanyo ya ZRB ni Bilioni 500, TRA ni Bilioni 400. Wazanzibar wanaosema TRA inakusanya na kuleta Bara, ni kiasi gani hicho? Bilioni 400 hazijafika hata nusu Trilioni. Bajeti inaonyesha pesa zote zinabaki Zanzibar

3. Bajeti ya SMZ haina Wizara ya Ulinzi, mambo ya ndani , nje au taasisi za muungano
Gharama hizo zipo katika bajeti ya JMT ambayo ni bajeti ya Tanganyika

4. Kuna eneo linaeleza pesa za mfumo wa elimu ya juu (HEET) ambapo JMT itagharamia Zanzibar Marine institute
Hivi Zanzibar si wana mfumo wao wa elimu ya juu na wizara zao kwanini pesa zitoke Tanganyika?

5. Bajeti ya SMZ haionyeshi wale Wabunge wa Zanzibar wanaokuja Dodoma kusikiliza habari za Tanganyika wanalipwaje. Maana yake gharama za Taasisi ya Bunge kwa Wabunge kutoka Zanzibar zinalipwa na Watanganyika

Ukisoma bajeti ya Zanzibar sehemu kubwa ni elimu , afya na kununua maboti na utalii
Bajeti haina vyanzo vingi vya kodi kwasababu maeneo yenye gharama kama kuendesha wizara na taasisi za muungano zinabebwa na Watanganyika.

Katika kuhakikisha Watanganyika hawabebeshwi kodi na tozo na katika kuongeza vyanzo vya mapato, njia moja ni kupunguza matumizi hapo ndipo Zanzibar inatakiwa ibebe gharama kama za taasisi kama Wabunge wao, ichangie taasisi za muungano na wizara husika.

Kwa kuwa na taasisi za JMT zenye mbadala kule Zanzibar, je, hiyo siyo duplication inayombebesha mlipa kodi gharama?
JokaKuu Pascal Mayalla
Mimi nauliza, sera ya CCM ni serikali mbili kuelekea moja. Haya yalisemwa zama za G55.
Nini kinazuwia utekelezaji wa sera hii?
 
hii ndio sababu mojawapo inayonifanya nione kichefuchefu kwenye muungano...na nikikutana na mzanzibari nisiwe na moyo wa kushirikiana naye. mtaniwia radhi kwa kusema ukweli ulioko moyoni mwangu.

kwasababu hata kwa raia wa kawaida achana na institutions, ukienda dsm, kigamboni, kuna wazanzibar wanamiliki ardhi wapendavyo, ukienda mikoani kuna wazanzibar wananunua maeneo wapendavyo. ila sisi tukienda kule, ......., kingine, kuona dini zingine hazitakiwi, kuchapa viboko wakristo wasiofunga wanaokula wakati wa ramadhani....ni jambo ambalo kwa wazanzibar wote wanaona ni sahihi, ila mimi linanitia simanzi sana.
Dini zingine ni mapango ya wanyang'anyi tu
 
Kinachozuia ni ulevi na uchu wa madaraka..na sio kingine.

#MaendeleoHayanaChama
Na ni ulevi hasa kwa wazanzibari. Fikiria vyeo vitakavyo potentially.
Rais, Makamo wawili, cabinet yote, makatibu wakuu, wakurugenzi na orodha inaendelea.
 
hii ndio sababu mojawapo inayonifanya nione kichefuchefu kwenye muungano...na nikikutana na mzanzibari nisiwe na moyo wa kushirikiana naye. mtaniwia radhi kwa kusema ukweli ulioko moyoni mwangu.

kwasababu hata kwa raia wa kawaida achana na institutions, ukienda dsm, kigamboni, kuna wazanzibar wanamiliki ardhi wapendavyo, ukienda mikoani kuna wazanzibar wananunua maeneo wapendavyo. ila sisi tukienda kule, ......., kingine, kuona dini zingine hazitakiwi, kuchapa viboko wakristo wasiofunga wanaokula wakati wa ramadhani....ni jambo ambalo kwa wazanzibar wote wanaona ni sahihi, ila mimi linanitia simanzi sana.
hata baada ya yote hayo bado ni eneo pekee linalo ongoza kwa ufil.aji
 
Vyeo vitakavyo potea.
Huwa nasema adui wa kwanza kabisa wa wazenji ni viongozi wao..hao walamba asali ya Tanganyika kamwe hawawezi kukubali muungano uvunjike.

Hata wazenji walimie meno...all ina all naamini katika muungano na kuwa na serikali moja.

Ili kuondoa hizi kero za kipuuzi na u selfish.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi nauliza, sera ya CCM ni serikali mbili kuelekea moja. Haya yalisemwa zama za G55.
Nini kinazuwia utekelezaji wa sera hii?
Zilikuwa ni kauli za kisiasa kutuliza joto la kisiasa kwa hao G55.
Dr. Salmin aliwachania "laiv" bila ya kupepesa macho kwamba hicho kitu hakiwezekani labda mje mtawale miti.
 
Zilikuwa ni kauli za kisiasa kutuliza joto la kisiasa kwa hao G55.
Dr. Salmin aliwachania "laiv" bila ya kupepesa macho kwamba hicho kitu hakiwezekani labda mje mtawale miti.
Inawezekana ikiamuliwa hakuna kinachoshindikana chini ya jua...kitakachofanyika nikuondoa maotea yote ila mazao yakuwe vyema.

Sema maslahi binafsi na uchu wa madaraka ndio shida iliyopo kwa viongozi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Zilikuwa ni kauli za kisiasa kutuliza joto la kisiasa kwa hao G55.
Dr. Salmin aliwachania "laiv" bila ya kupepesa macho kwamba hicho kitu hakiwezekani labda

Zilikuwa ni kauli za kisiasa kutuliza joto la kisiasa kwa hao G55.
Dr. Salmin aliwachania "laiv" bila ya kupepesa macho kwamba hicho kitu hakiwezekani labda mje mtawale miti.
Kwa bahati maisha yetu ni mafupi. Mchanganyiko wa watu unabadilika taratibu. Vijana wengi kutoka bara wamehamia huko. Wana vitambulisho vya mzanzibari.
Itafika muda watakuwa na wingi wa kutosha kuleta mabadiliko. Hapo ndipo mutagunduwa kwamba mumezidiwa mikakati.
 
Wapemba na wanzanzibar ndio wakaz wenyeji wa kigambon tangu 1780 kama vile wazaramo kwa dar mkolon akaja kugawa sehem ile kwa bara haya rais wao jumbe alikua na kiwanja cha urais tangu kale alichorith kutoka kwa babu yake na babu yake hapo ndio nyerere alipomuweka kizuizin kiukwel tunawaonea wanzanzibar sanaa kutokana na udogo wao na kuna kisima cha mafuta kimejulikana ila wanzanzibar wamegoma kuchimbwa mafuta na kuletwa bara na bara haitok kuchimba mafuta na kuuzwa kutokea zanzibar swala liko pending
Uzushi huu
 
Back
Top Bottom