masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Nimeshangazwa na kauli za baadhi ya wabunge wakiongozwa na Jerry Silaa kutaka bodaboda ziendelee kuwa kero jijini Dar es Salaam.
Suala hili limebebwa vile vile na Spika Tulia Ackson, kutetea baodaboda kuendelea kuwa kero katikati ya miji mingi nchini.
Siyo siri bodaboda ni kero kubwa, hawafuati sheria popote pale, si barabarani mijini wala vijijini.
Uliza wenye magari waliovunjiwa vioo-rear sight mirrors.
Waliokwaruzwa ubavuni.
Mishkaki ndo usiseme, kwenye traffic lights polisi walisha nyoosha mikono.
Wabunge wetu wanakosa viwango katika kutatua masuala ya mass transport.
Bodaboda haiwezi kuwa mbadala wa mass transport.
Tufikirie katika muelekeo huo, na wabunge wetu lazima kuwa critical thinkers, na si kuwa madalali wa kura kurudi bungeni tu.
Wengine wanaona bodaboda kama mtaji wa kisiasa.
Sasa katika ufinyu tu wa kufikiri, MACHINGA KWA NINI TULIWAONDOA?
Watanzania tunashindwa kuvumilia hii double standards.
Suala hili limebebwa vile vile na Spika Tulia Ackson, kutetea baodaboda kuendelea kuwa kero katikati ya miji mingi nchini.
Siyo siri bodaboda ni kero kubwa, hawafuati sheria popote pale, si barabarani mijini wala vijijini.
Uliza wenye magari waliovunjiwa vioo-rear sight mirrors.
Waliokwaruzwa ubavuni.
Mishkaki ndo usiseme, kwenye traffic lights polisi walisha nyoosha mikono.
Wabunge wetu wanakosa viwango katika kutatua masuala ya mass transport.
Bodaboda haiwezi kuwa mbadala wa mass transport.
Tufikirie katika muelekeo huo, na wabunge wetu lazima kuwa critical thinkers, na si kuwa madalali wa kura kurudi bungeni tu.
Wengine wanaona bodaboda kama mtaji wa kisiasa.
Sasa katika ufinyu tu wa kufikiri, MACHINGA KWA NINI TULIWAONDOA?
Watanzania tunashindwa kuvumilia hii double standards.