masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
- #21
Huyu mbunge asiye na viwango anataka ku maintain poverty status quo ili ajihakikishie kura za boda boda.View attachment 2196170
Huyu dogo hana viwango kweli.
Next atatetea kupinga msimamo wa mama Samia kuondoa machinga Jijini.
Watu kama hawa hawatufai.