Ni kweli kabisa usemayo ! Tunachokipinga ni u- double standard, ama wakatazwe wote ama waruhusiwe wote !!!Miji hsikujengwa kwa ajili ya watu masikini tu, ina ustaarabu na taratibu zake.
Na hii si Tanzania tu bali nchi zote dunisni.
Kuna watu wNampinga mama Samia na maboresho yake mijini.Ni kweli kabisa usemayo ! Tunachokipinga ni u- double standard, ama wakatazwe wote ama waruhusiwe wote !!!
Kweli ndivyo ilivyo !!Kuna watu wNampinga mama Samia na maboresho yake mijini.
Lazima waumbuliwe, wao wanaweka masilahi yao kisiasa mbele kuliko nchi,
Unazungumzia wabunge wapi?Nimeshangazwa na kauli za baadhi ya wabunge wakiongozwa na Jerry Silaa kutaka bodaboda ziendelee kuwa kero jijini Dar es Salaam.
Suala hili limebebwa vile vile na Spika Tulia Ackson, kutetea baodaboda kuendelea kuwa kero katikati ya miji mingi nchini.
Siyo siri bodaboda ni kero kubwa, hawafuati sheria popote pale, si barabarani mijini wala vijijini.
Uliza wenye magari waliovunjiwa vioo-rear sight mirrors.
Waliokwaruzwa ubavuni.
Mishkaki ndo usiseme, kwenye traffic lights polisi walisha nyoosha mikono.
Wabunge wetu wanakosa viwango katika kutatua masuala ya mass transport.
Bodaboda haiwezi kuwa mbadala wa mass transport.
Tufikirie katika muelekeo huo, na wabunge wetu lazima kuwa critical thinkers, na si kuwa madalali wa kura kurudi bungeni tu.
Wengine wanaona bodaboda kama mtaji wa kisiasa.
Sasa katika ufinyu tu wa kufikiri, MACHINGA KWA NINI TULIWAONDOA?
Watanzania tunashindwa kuvumilia hii double standards.
Kuna wabunge wanafiki, aina ya Slaa.Unazungumzia wabunge wapi?
Hawa wa JMT? Au wengine
Usipoa mtaja mwendazake unakuwa kama teja ambae hajapata madawa ya kulevya.Hii upuuzi wa kutaka watu wajifanyie mambo hovyo hovyo sio sawa..
Wadau wakiwamo boadaboda walikutana na ndio wakaweka utaratibu..
Hii ni tabia ya kijinga ya kuishi kwenye kivuli cha Mwendazake aliyeshindwa kuendesha uchumi na kuruhusu uholela ni utoto..
Lazima tuwe ya utaratibu na mambo haya ndio yanasumbua huko kwa machinga..
Nina hakika hata CDM wakipata serikali leo lazima watataka utaratibu ufuatwe tena kuliko ilivyo sasa chini ya CCM..
Kwa hiyo sielewi hao ccm huwa wanatetea nini na huyo Waziri Bashungwa ndio kabisaa kila anachoambiwa anafanya tuu bila kufuata utaratibu..Mambo haya yakomeshwe.
Umewahi fika Kampala? Mji upo disorganized sababu ya BodaBoda. Huko ulaya kuna Maeneo hata magari hayaruhusiwi watu wanaingia kwa mwendokasi na treni tu yote hayo ni mipango miji kupunguza congestion n.kHuu uzi ni taka taka kabisa, kila mtu yupo huru kutumia chombo Cha usafiri anachokimudu sehemu yoyote ile ya nchi bila kumzuia, kukataza boda boda kuingia katikati ya mji ni upumbavu wa kiwango Cha SGR, Kuna watu wanajiona sana kwa MBA nch ni ya kwao hii.
Kuna watu wamezaliwa mahali dis organised na wanafikiri uholela wowote sawa tu.Umewahi fika Kampala? Mji upo disorganized sababu ya BodaBoda. Huko ulaya kuna Maeneo hata magari hayaruhusiwi watu wanaingia kwa mwendokasi na treni tu yote hayo ni mipango miji kupunguza congestion n.k
Tusiingize siasa kwenye Kila kitu, mbona machinga walikubali kutolewa? Kwani BodaBoda ni muhimu kuliko machinga na mama Ntilie?
Bei ndio imefanyaje? Bei za 2015 ndio bei za 2022? GDP ya 2010 ndio ya 2022?Usipoa mtaja mwendazake unakuwa kama teja ambae hajapata madawa ya kulevya.
Hebuelezea alivyo shindwakuendesha uchumi na sasa uchumi unaendeshwaje.
Bei ya mahitaji mbalimbali muhimu ikoje na wakati wahuyo mwendazake ilikuwaje.
Wewe kwako uchumi unaoendeshwa vizuri ninini, amaukiruhusiwa kufanya ufisadi ndio unaona uchumi ukovizuri.
Very low thinking standards.Yule Mbunge ni kilaza kwa kuleta suala la Bodaboda wa DSM Bungeni.