#COVID19 Suala la COVID-19, Rais Samia anaigiza?

#COVID19 Suala la COVID-19, Rais Samia anaigiza?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Ujue kuna mambo mengine ya ajabu sana hasa kwa mtu anayetumia akili vizuri kutafakari mambo.

Juzi Rais Samia akiwa Kagera alihimiza kuhusu kichukua tahadhari zote za COVID-19 na akaenda mbali kuwataka wananchi wachanjwe.

Leo ameonekana Oman akiwa hajavaa barakoa na anashikana mikono na watu bila kuzingatia suala la umbali wa mita 1.

Swali langu ni kuwa, kwanini asitoe msimamo mmoja kama alivyo fanya JPM?

Kama yeye ameamua kuamini kuwepo kwa ugonjwa huo na tahadhari, kwanini yeye anajisahau mara kwa mara?

Au anafanya mambo ili kufurahisha kundi fulani la watu?

By
#Chawa_wa_mama
 
Wewe hujui mmekula shs ngapi na chanjo zimekuja dozen ngapi?.

Hujui mmejenga madarasa, vituo vya afya au mgao kwa Tanganyika na Zanzibar kiasi gani mpaka useme anaigiza?.
 
Wewe hujui mmekula shs ngapi na chanjo zimekuja dozen ngapi?.

Hujui mmejenga madarasa, vituo vya afya au mgao kwa Tanganyika na Zanzibar kiasi gani mpaka useme anaigiza?.
Sasa wakimwona havai barakoa si watajua anaigiza kama alivyofanya kwenye royotua
 
Sasa wakimwona havai barakoa si watajua anaigiza kama alivyofanya kwenye royotua
Wanakutaka wewe mkuu, kiongozi wako tayari wamemnasa that's why alishapokea mpunga, chanjo na ushauri kuwa afanye nini.

So target is you not her!
 
Most of Oman residents are now vaccinated as per requirement, while in Tz it is optional n means 'risky'..... Abiria chunga mzigo wako....
Kwani si tulikubaliana kuwa hata tukichanjwa tusishikane? Si tulisema tuendelee kuvaa barakoa kama wajinga?
 
Most of Oman residents are now vaccinated as per requirement, while in Tz it is optional n means 'risky'..... Abiria chunga mzigo wako....
Most of Oman residents are.....but not All of Oman residents are...
====
In Tanzania, I guess it is the same as they found that there is no need of giving us the statistics of the vaccinated citizens!!

Kweli tuchunge mzigo.
 
Back
Top Bottom