Suala la DP World nahisi bado naota. Ni kweli kabisa Viongozi wetu waliukubali mkataba wa hovyo kama huu?

Suala la DP World nahisi bado naota. Ni kweli kabisa Viongozi wetu waliukubali mkataba wa hovyo kama huu?

neno ni upanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2022
Posts
494
Reaction score
1,656
Habari wakuu,

Hapa nipo nimekaa namtafakari Rais wetu, Waziri Mkuu wetu, Mawaziri wetu na wabunge wetu.

Ni kweli kabisa walikubali kuuchukua huu mkataba na akili zao au Kuna kitu kipo nyuma yake? Bado naona Kama naota, maana mkataba wenyewe hata mtoto wa Darasa la Saba ukimpa ausome anaukataa.

Sijui huko serikalini ni wapi wao hawaelewi?
 
Habari wakuu,

Hapa nipo nimekaa namtafakari Rais wetu, Waziri Mkuu wetu, Mawaziri wetu na wabunge wetu.

Ni kweli kabisa walikubali kuuchukua huu mkataba na akili zao au Kuna kitu kipo nyuma yake? Bado naona Kama naota, maana mkataba wenyewe hata mtoto wa Darasa la Saba ukimpa ausome anaukataa.

Sijui huko serikalini ni wapi wao hawaelewi?
Lord denning Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMMARS wameuridhia ww ni nan upinge?
 
Hivi zanzibar kuna kiumbe hata mmoja anae kataa mkataba huu?

Mtu wa bara nikiona anakenua na kutumia nguvu kubwa kuunga mkono mkataba huu, najiuliza huyu hata kama kapewa hela vip ukomo wake wa kuwaza umefika mwisho?
 
Habari wakuu,

Hapa nipo nimekaa namtafakari Rais wetu, Waziri Mkuu wetu, Mawaziri wetu na wabunge wetu.

Ni kweli kabisa walikubali kuuchukua huu mkataba na akili zao au Kuna kitu kipo nyuma yake? Bado naona Kama naota, maana mkataba wenyewe hata mtoto wa Darasa la Saba ukimpa ausome anaukataa.

Sijui huko serikalini ni wapi wao hawaelewi?
Hakuna jipya.
Ni marudio tu ya threads kwa headings tofauti tofauti
 
Habari wakuu,

Hapa nipo nimekaa namtafakari Rais wetu, Waziri Mkuu wetu, Mawaziri wetu na wabunge wetu.

Ni kweli kabisa walikubali kuuchukua huu mkataba na akili zao au Kuna kitu kipo nyuma yake? Bado naona Kama naota, maana mkataba wenyewe hata mtoto wa Darasa la Saba ukimpa ausome anaukataa.

Sijui huko serikalini ni wapi wao hawaelewi?
Kushakucha
 
Hatuna Wataalamu wa Majadiliano(Negotiators)
Rais Kikwete Kuna muda aliwahi kukiri hili na kuomba nchi moja ya Ulaya isaidie kuwafunza Watanzania namna ya kujadiliana mkataba.

Kuwa Mwanasheria nguli kama Profesa Kabudi Bado hakukupi ujuzi na Sanaa ya kufanya majadiliano, matokeo yake ni mkataba ya fedheha eanayoingia.

Katika ulimwengu wa Biashara na Utandawazi wa Sasa hakuna tena 'Win win' kama huwezi kuweka hoja mezani na kuzitetea. Kuna 'The winner takes it all'

Nchi za wenzetu wanalijua hili na mara nyingi wanatafuta Consultants wanawasaidia, sisi tunatanguliza Wanasiasa.

Inasemekana mara nyingine wanakuja na mikataba miwili, wanatangiliza wa hovyo, mkisaini wanafurahia, mkikomaa wanaleta mwingine wenye mantiki.

Soma kitabu cha Chris Ross 'Never Split the Difference'
 
Habari wakuu,

Hapa nipo nimekaa namtafakari Rais wetu, Waziri Mkuu wetu, Mawaziri wetu na wabunge wetu.

Ni kweli kabisa walikubali kuuchukua huu mkataba na akili zao au Kuna kitu kipo nyuma yake? Bado naona Kama naota, maana mkataba wenyewe hata mtoto wa Darasa la Saba ukimpa ausome anaukataa.

Sijui huko serikalini ni wapi wao hawaelewi?
Mkuu mfadhaiko uliokupata ni sawa na ule wa Adam alioupsta katika bistani ya Edeni baada ya kujikuta kala pasipokujua tunda alilokatazwa kula na Muumba wake. Tunda litokanalo na mti wa maarifa ya kutambua mema na mabaya.

Tunda ambalo mkewe Eva alimletea huku akiamini kuwa linaafaa kuliwa kwa kuwa litamfanye afanane na Muumba wake. Baada ya kula akajikuta akipoteza utukufu wake wote na kuangukia dhambini na hatimaye mautini.

Muumbaji wa Serikali na Bunge ni "Umma wa Watanzania". Sauti ya Muumbaji inasema wewe Serikali, usile tunda la "mkataba wa DP World" lakini Bunge limeridhia IGA na kumletea Serikali ili ale. HGA itakuwa ni anguko la kuingia dhambini na mautini. Sauti ya Umma ni sauti ya Mungu.
 
Rais, waziri, katibu wizara na mwanasheria wa wizara wote wazanzibar. Haiko kibahati mbaya.

Planned.

Mabogus ya bara yanafuata mkumbo tu.

Tutawachinja na kuwafilisi mali zao na tutawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha nne cha wanaopitisha kuuzwa nchi yetu.

Muda utaongea
 
Habari wakuu,

Hapa nipo nimekaa namtafakari Rais wetu, Waziri Mkuu wetu, Mawaziri wetu na wabunge wetu.

Ni kweli kabisa walikubali kuuchukua huu mkataba na akili zao au Kuna kitu kipo nyuma yake? Bado naona Kama naota, maana mkataba wenyewe hata mtoto wa Darasa la Saba ukimpa ausome anaukataa.

Sijui huko serikalini ni wapi wao hawaelewi?
Tukiwaambia magufuli alikuwa anapambana na wahuni watu mnakuwa wabishi sasa hivyi wahuni wapo ikulu ndiyo mtajua amjui ....mkataba wa bandari ya bagamoyo haukuwa mchafu kuliko huu wa kumpa muarabu milele bandari zetu tena bure ....nikisema wazanzibar ni wahuni sijui kama mtanielewa huu ni mkataba wa wazanzibar na waarabu
 
Habari wakuu,

Hapa nipo nimekaa namtafakari Rais wetu, Waziri Mkuu wetu, Mawaziri wetu na wabunge wetu.

Ni kweli kabisa walikubali kuuchukua huu mkataba na akili zao au Kuna kitu kipo nyuma yake? Bado naona Kama naota, maana mkataba wenyewe hata mtoto wa Darasa la Saba ukimpa ausome anaukataa.

Sijui huko serikalini ni wapi wao hawaelewi?
wenye kusaini wanasema ni makubaliano sio mkataba. Hii nchi kuna mazuzu hadi ngazi zinazoaminika.
 
Kilichofanya mkataba wa bagamoyo tuukatae ,kwanza kutukataza kuendeleza bandari zingine
 
Kuna viongozi wa hovyo sana wanaostahili kunyongwa, hasa wakimbizi kutoka Zanzibar.
 
Back
Top Bottom